Madawati ndio hitaji la msingi ndio maana wameanza nalo.bola wanafunzi wakose walimu kuliko kukosa madawati .maana watajisomea wenyewe, ahadi ya mala miezi 2 mala tutaajili mwaka huu wa fedha (mwaka wa fedha unaisha mwez wa 7 /2017). Asante kwa elimu bure na ahadi zitimizwe zisiongezewe muda kama kifurushi cha internet cha bila kikomo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.