Rais Magufuli, Tanzania sio Dar pekee!

Rais Magufuli, Tanzania sio Dar pekee!

General Mangi

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2013
Posts
15,316
Reaction score
23,178
Wakuu salam!!!...

Ni takribani siku ya 26 sasa tangu Rais mpya kuapishwa Dr John Magufuli.

Pamoja na spidi na mikakati yote, bado naona anaipendelea Dar pekee.
Ziara yake ya pili alikwenda Hospitali ya taifa muhimbili.
Baada ya kuzindua bunge pale dodoma, Rais Magufuli alipendekeza pesa za sherehe za bungee zielekezwee Muhimbili kununua vitanda.
Rais bado anadhani matatizo yapo Dar peke yake, hakujua pia dodoma ambazo pesa hizo zilipatikana eneo hilo hakuna hospitali yenye matatizo kama muhimbili.

Hiyo haitoshi, Jana kapendekeza fedha za sherehe za Uhuru zipelekwe kupanua barabara ya mwenge zaidi ya sh. 4 billion ili kupunguza msongamano. Rais bado hajajua tatizo la Dar kuwa na folen ni ofisi nyingi za serikali kujaa posta na shughuli za biashara kuwa K.koo na posta.

Sisi kama wananchi kila jambo tunashangilia pasipo kutatua matatizo yanao tukabili.

Rais anapaswa kutambua kuwa Tanzania ina mikoa zaidi ya 30, mikoa yote hii inataka kuona inanufaika na nchi hii na sio kila kitu ni Dar.

Fedha za uhuru ni bora zingeelekezwa kwenye shule za msingi ambazo zinamatatizo ya vyoo nchi nzima.

Tunataka kasi yake ya utendaji ije pia mikoani ambapo huku ndipo uonzo mwingi.

Pia ni bora kila wizara kusambazwa mikoani ili kupunguza msongamano, na kukuza miji mingine kibiasharaa.

Rais tunakuomba utambuee kuwa hata sisi wa mikoani ni watanzania tunastahili haki kma Dar, umekuja dodoma hukutembeleaa taasisi zako hata moja, hata kama ni kwa unafki lkn ungetembelea tu.

Salaam!!!
 
Shost (Hili ni jina lako mtoa post) naona unamchana mhe rais LIVE. Haya amekusikia.
 
Wakuu salam!!!...

Ni takribani siku ya 26 sasa tangu Rais mpya kuapishwa Dr John Magufuli.

Pamoja na spidi na mikakati yote, bado naona anaipendelea Dar pekee.
Ziara yake ya pili alikwenda Hospitali ya taifa muhimbili.
Baada ya kuzindua bunge pale dodoma, Rais Magufuli alipendekeza pesa za sherehe za bungee zielekezwee Muhimbili kununua vitanda.
Rais bado anadhani matatizo yapo Dar peke yake, hakujua pia dodoma ambazo pesa hizo zilipatikana eneo hilo hakuna hospitali yenye matatizo kama muhimbili.

Hiyo haitoshi, Jana kapendekeza fedha za sherehe za Uhuru zipelekwe kupanua barabara ya mwenge zaidi ya sh. 4 billion ili kupunguza msongamano. Rais bado hajajua tatizo la Dar kuwa na folen ni ofisi nyingi za serikali kujaa posta na shughuli za biashara kuwa K.koo na posta.

Sisi kama wananchi kila jambo tunashangilia pasipo kutatua matatizo yanao tukabili.

Rais anapaswa kutambua kuwa Tanzania ina mikoa zaidi ya 30, mikoa yote hii inataka kuona inanufaika na nchi hii na sio kila kitu ni Dar.

Fedha za uhuru ni bora zingeelekezwa kwenye shule za msingi ambazo zinamatatizo ya vyoo nchi nzima.

Tunataka kasi yake ya utendaji ije pia mikoani ambapo huku ndipo uonzo mwingi.

Pia ni bora kila wizara kusambazwa mikoani ili kupunguza msongamano, na kukuza miji mingine kibiasharaa.

Rais tunakuomba utambuee kuwa hata sisi wa mikoani ni watanzania tunastahili haki kma Dar, umekuja dodoma hukutembeleaa taasisi zako hata moja, hata kama ni kwa unafki lkn ungetembelea tu.

Salaam!!!

Ujumbe umfikie
 
Wakuu salam!!!...

Ni takribani siku ya 26 sasa tangu Rais mpya kuapishwa Dr John Magufuli.

Pamoja na spidi na mikakati yote, bado naona anaipendelea Dar pekee.
Ziara yake ya pili alikwenda Hospitali ya taifa muhimbili.
Baada ya kuzindua bunge pale dodoma, Rais Magufuli alipendekeza pesa za sherehe za bungee zielekezwee Muhimbili kununua vitanda.
Rais bado anadhani matatizo yapo Dar peke yake, hakujua pia dodoma ambazo pesa hizo zilipatikana eneo hilo hakuna hospitali yenye matatizo kama muhimbili.

Hiyo haitoshi, Jana kapendekeza fedha za sherehe za Uhuru zipelekwe kupanua barabara ya mwenge zaidi ya sh. 4 billion ili kupunguza msongamano. Rais bado hajajua tatizo la Dar kuwa na folen ni ofisi nyingi za serikali kujaa posta na shughuli za biashara kuwa K.koo na posta.

Sisi kama wananchi kila jambo tunashangilia pasipo kutatua matatizo yanao tukabili.

Rais anapaswa kutambua kuwa Tanzania ina mikoa zaidi ya 30, mikoa yote hii inataka kuona inanufaika na nchi hii na sio kila kitu ni Dar.

Fedha za uhuru ni bora zingeelekezwa kwenye shule za msingi ambazo zinamatatizo ya vyoo nchi nzima.

Tunataka kasi yake ya utendaji ije pia mikoani ambapo huku ndipo uonzo mwingi.

Pia ni bora kila wizara kusambazwa mikoani ili kupunguza msongamano, na kukuza miji mingine kibiasharaa.

Rais tunakuomba utambuee kuwa hata sisi wa mikoani ni watanzania tunastahili haki kma Dar, umekuja dodoma hukutembeleaa taasisi zako hata moja, hata kama ni kwa unafki lkn ungetembelea tu.

Salaam!!!

Kwani keshamaliza mwaka?
Tulia
 
Nahisi ni mapema sana kuanza kusema Raisi anapendelea dar peke yake kwan baraza la maziri bado hivyo akianza kuwaza kila sehemu zinaweza kupigwa na huko bora hapa ambapo macho ya wengi kama waandishi wa habari na wadau wengine wanaweza kusaidia kuona..,then akichagua mawaziri ndio aangalie tz yote kwan kutakua na waziri mwenye dhamana wakuweza kumuwajibisha kama mambo yakienda ndivyo sivyo
 
Dar inatoa mchango mkubwa kwenye pato la nchi ingawaje watumiaji mlio wengi mpo mapolini!
 
Kweli wewe ni ibilisi!
Hospitali ya Muhimbili ni hospitali ya Taifa siyo ya mkoa wa Dar es Salaam.
Halikadhalika,barabara za Dar ni muhimu kwa ajili yetu sote. Msongamano wa magari Dar es Salaam unaathiri mikoa yote na nchi jirani zinazotegemea bandari ya Dar es Salaam.
 
Dar inatoa mchango mkubwa kwenye pato la nchi ingawaje watumiaji mlio wengi mpo mapolini!

Mbuga za wanyama zipo Dar? madini je? gesi, Maji na kilimo pia vipo Dar??

Unajua ni sekta gani zinaongoza kuchangia patobla taifa?? Je zipo Dar??

Rekebisha kauli mkuu!!!
 
A ⓢⓔⓔ ⓚⓤⓔⓝⓘ ⓜⓐⓚⓔⓝⓔ ⓝⓐ mheshmiwa
 
Kuna Mikoa itakuwa imelaaniwa kwa kweli. Karne hii kweli wanategemea Mhe. Rais awajengee vyoo ili watoto wenu wapate kujisaodia??? Wonders will never end.... Ibilisi unatoka mkoa gani?? Huko hakuna RC, DC, Mbunge wala wafanyabiashara mkafanya fund raising ya kujenga vyoo vya wanafunzi??? Unajua hata tatizo la madawati sio la Serikali. Ni viongozi kutokuwa wabunifu ktk kubuni miradi ili iingize kipato kwa matumizi madogo madogo na sio kutegemea Hazina. Hizo Halmashauri zinafanya nini jamani?????

Mwisho mkoa wako unachangia shs ngapi kwenye pato la Taifa???

Queen Esther

Wakuu salam!!!...

Ni takribani siku ya 26 sasa tangu Rais mpya kuapishwa Dr John Magufuli.

Pamoja na spidi na mikakati yote, bado naona anaipendelea Dar pekee.
Ziara yake ya pili alikwenda Hospitali ya taifa muhimbili.
Baada ya kuzindua bunge pale dodoma, Rais Magufuli alipendekeza pesa za sherehe za bungee zielekezwee Muhimbili kununua vitanda.
Rais bado anadhani matatizo yapo Dar peke yake, hakujua pia dodoma ambazo pesa hizo zilipatikana eneo hilo hakuna hospitali yenye matatizo kama muhimbili.

Hiyo haitoshi, Jana kapendekeza fedha za sherehe za Uhuru zipelekwe kupanua barabara ya mwenge zaidi ya sh. 4 billion ili kupunguza msongamano. Rais bado hajajua tatizo la Dar kuwa na folen ni ofisi nyingi za serikali kujaa posta na shughuli za biashara kuwa K.koo na posta.

Sisi kama wananchi kila jambo tunashangilia pasipo kutatua matatizo yanao tukabili.

Rais anapaswa kutambua kuwa Tanzania ina mikoa zaidi ya 30, mikoa yote hii inataka kuona inanufaika na nchi hii na sio kila kitu ni Dar.

Fedha za uhuru ni bora zingeelekezwa kwenye shule za msingi ambazo zinamatatizo ya vyoo nchi nzima.

Tunataka kasi yake ya utendaji ije pia mikoani ambapo huku ndipo uonzo mwingi.

Pia ni bora kila wizara kusambazwa mikoani ili kupunguza msongamano, na kukuza miji mingine kibiasharaa.

Rais tunakuomba utambuee kuwa hata sisi wa mikoani ni watanzania tunastahili haki kma Dar, umekuja dodoma hukutembeleaa taasisi zako hata moja, hata kama ni kwa unafki lkn ungetembelea tu.

Salaam!!!
 
Kweli wewe ni ibilisi!
Hospitali ya Muhimbili ni hospitali ya Taifa siyo ya mkoa wa Dar es Salaam.
Halikadhalika,barabara za Dar ni muhimu kwa ajili yetu sote. Msongamano wa magari Dar es Salaam unaathiri mikoa yote na nchi jirani zinazotegemea bandari ya Dar es Salaam.

Mkuu unajua chanzo cha misongamano?? Hospitali ya muhimbili inajaa kutokana na za mikoa kuwa na huduma hafifu.

Naomba utatuee tatizo kisayansi zaidi, sio kila kitu siasa tena ya majibu mepesi, au kisa hili ni jukwaa la siasaa??
 
Mbuga za wanyama zipo Dar? madini je? gesi, Maji na kilimo pia kipo Dar??

Unajua ni sekta gani zinaongoza kuchangia patobla taifa?? Je zipo Dar??

Rekebisha kauli mkuu!!!
subiri tingatinga aendelee kuziba pancha!, jamaa walitoboa kwelikweli!, hizo zina mchango mdogo sana!, subiria kidogo mkuu, kwanu una miezi mingapi umekuja Dar?
 
Tumpe muda kaka, kwan Tz kuna mkoa gani wenye maendeleo kuliko Dar?
Dar mambo mengi yanafanyika hata wew ukija hapa ukakutana na folen utachikia sana.

Tumpe muda atafanya mengi na utafurahi.
 
Naunga mkono suala la kutawanya wizara katika mikoa tofauti......Mfano Marekani, wizara (departments) zimetawanywa katika States tofauti tofauti......

Lakini sidhani kama litafanyika katika serikali ya Magufuli......

Pengine upinzani kupata majimbo mengi Dar inaweza kuwa ni sababu.....
 
Back
Top Bottom