Rais Magufuli nisamehe,nakushauri kwa mara ya mwisho. Tafadhali shaurika!

Kuongea ongea sana sio ujanja kabisa.. Anapaswa kuelezwa na kuelewa madhara yake ki inteligensia
 

Tunajua mmechukia Rais kuamuru Nay wa mitego kuachiwa maana mlitaka kulifanya la kimanufaa kwenu......
hahahah Rais kawapiga chenga sana
 
Kamsahihishe Mbowe kwanza!

Nikikumbuka mwaka jana miezi kama hii wakati awamu hii bado single ya majipu inaheat ulikuwa unashambulia kwa kumwaga sifa kibao. Lakini siku hizi naona mzee umechuja huna jipya zaidi ya kuzuia mashambulizi tena kwa jazba. Umegeuka huna hoja mpya zaidi ya cdcm, Mbowe na Lowassa. Ulitaraji mwaka huu ungekuwa umeota mbawa, lakini badala yake mmegeuka kupangia nini vyombo vya habari vitangaze tena kwa vitisho. Sidhani kama mnatoboa safari hii.
 
Sasa we Tupatupa unadhani wataweza vipi hao wateule wake kufanya kazi iwapo mtu akitimiza tu wajibu wake anatimuliwa kazi? Watakaofanya kazi ni wale watakaopokea maelekezo kama Mwakyembe leo.hata ningekuwa ni mimi nisingejihangaisha kwa lolote.
 
Hujakosea mkuu
 
Wewe ni nani Nchi hii hadi utake ushahuri wako Raisi wa Nchi auchukuwe? Kamshauri Mbowe jinsi ya kuishi na Wema na Mamake, kama ukipenda!
hii post ni kwa ajili ya wenye akili zao tuu.sio kwa ajili ya watu waliotupa akili zap lumumba
 
kila mtu na style yake ya uongozi ... Mwacheni Rais apige kazi ya kuwatumikia wananchi wake ... hususan hili la kupambana kuhakikisha madini yetu yanatunufaisha .... KUDOS JPM
Uko sawa lakini tukiingia kichwa kichwa inakula kwetu
 
Kuna watu wana hulka ya kupenda kusifiwa kwa ubaya. They will reap what they sow. 2020 not so far.
Kila nikiona comment ya kujifariji ya design hii roho inaniuma sana, kama uchaguzi ungekuwa wa huru na haki tusingefikia hapa, namba zitasomeka kwa mda mrefu sana. Unadhani guts za kufanya haya madudu wanapata wapi? binafsi sitafanya ujinga tena wa kupanga msitari eti napiga kura. nonsense.
 
Wewe ni nani Nchi hii hadi utake ushahuri wako Raisi wa Nchi auchukuwe? Kamshauri Mbowe jinsi ya kuishi na Wema na Mamake, kama ukipenda!

BASHITE bana huwezi kujibu hoja kwa hoja????? Mtanzania yeyote yule ana haki ya kumshauri kiongozi wakati wowote ule hiyo ni mojawapo ya haki yake.....matusi na bastola ya nini???
 
Wewe mbeba ngada za mboe tangu lini ukawa lini ukawa mshauri wa rais wetu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…