Bome-e
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 17,104
- 26,070
Nipanic kwa lipi Bome~e.
Sehemu kama Tanesco ni kichaka hatari, hivi umesahau ile services fixed cost iliyofutwa na JPM ndio.ilikuwa inarudishwa kiaina.
Mi hayo sijasema,nimesema wanaotumbuliwa wanaendelea kula full salary!Hata Mafuru bado analamba salary