wakimataifa.
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 1,625
- 554
Rais kipenzi cha watanzania wanyonge wapenda haki kama wewe
Mh hatuna imani na uongozi wote wa TFF
Nchi hii tumeshazoea mpira mashabiki tupo aina mbili Simba au Yanga
Leo TFF wapo kama ukoo wote ni Simba na kina Haji wanajinasibu kuwa kwa uongozi huu lazima ubingwa miaka kumi kwa maana hiyo mpaka mwisho wa utawala
Pamoja na yote hayo sawa je kwanini Yanga ionewe sana na waamuzi?kama ubingwa wachukue kihalali.
Mheshimiwa, sisi mashabiki wa Yanga tunaomba utupie jicho kwa uongozi wa TFF yote
Tunajua uongozi huu umewekwa kwa nguvu kubwa na viongozi Serikalini kwa l ya timu zao Simba ili kuikomoa Yanga
ila tunakuamini wewe utukombolee unyonge huo wa kuonewa
Kila la kheri Rais JPM
Kipenzi cha wanyonge
Sent using Jamii Forums mobile app
Mh hatuna imani na uongozi wote wa TFF
Nchi hii tumeshazoea mpira mashabiki tupo aina mbili Simba au Yanga
Leo TFF wapo kama ukoo wote ni Simba na kina Haji wanajinasibu kuwa kwa uongozi huu lazima ubingwa miaka kumi kwa maana hiyo mpaka mwisho wa utawala
Pamoja na yote hayo sawa je kwanini Yanga ionewe sana na waamuzi?kama ubingwa wachukue kihalali.
Mheshimiwa, sisi mashabiki wa Yanga tunaomba utupie jicho kwa uongozi wa TFF yote
Tunajua uongozi huu umewekwa kwa nguvu kubwa na viongozi Serikalini kwa l ya timu zao Simba ili kuikomoa Yanga
ila tunakuamini wewe utukombolee unyonge huo wa kuonewa
Kila la kheri Rais JPM
Kipenzi cha wanyonge
Sent using Jamii Forums mobile app