Rais Magufuli kwa kutokwenda kuwaaga askari wetu waliouawa amenishangaza

sirjohn

JF-Expert Member
Aug 6, 2014
767
677
Leo ndiyo wale askari polisi 8 waliowawa kule Pwani wameagwa pale police barracks

Askari wanane kufa kwa kupigwa risasi na watu ambao ni majambazi/magaidi ni msiba wa kitafa..

Hivi mh Rais uliona taabu gani kwenda kushirikiana na askari wako katika kuwaaga wale askari.

Mh Rais uzidunzi wa hostel ni mhimu kuliko kuwaaga askari wako!

Kweli kabisa Mwigulu afike wew usifike? hilo suala la hostel kwa nin hukunuachia RC Makonda na waziri LUKUVI au ukahailisha kama uliona lazma uwepo

Mh. Rai umenishangaza sana...!
 
Leo ndiyo wale askari polisi 8 waliowawa kule Pwani wameagwa pale police barracks

Askari wanane kufa kwa kupigwa risasi na watu ambao ni majambazi/magaidi ni msiba wa kitafa..

Hivi mh Rais uliona taabu gani kwenda kushirikiana na askari wako katika kuwaaga wale askari.

Mh Rais uzidunzi wa hostel ni mhimu kuliko kuwaaga askari wako!

Kweli kabisa Mwigulu afike wew usifike? hilo suala la hostel kwa nin hukunuachia RC Makonda na waziri LUKUVI au ukahailisha kama uliona lazma uwepo

Mh. Rai umenishangaza sana...!
Hostel ni kiki lakini misiba inamtoa njia kuu ya 2020
 
Leo ndiyo wale askari polisi 8 waliowawa kule Pwani wameagwa pale police barracks

Askari wanane kufa kwa kupigwa risasi na watu ambao ni majambazi/magaidi ni msiba wa kitafa..

Hivi mh Rais uliona taabu gani kwenda kushirikiana na askari wako katika kuwaaga wale askari.

Mh Rais uzidunzi wa hostel ni mhimu kuliko kuwaaga askari wako!

Kweli kabisa Mwigulu afike wew usifike? hilo suala la hostel kwa nin hukunuachia RC Makonda na waziri LUKUVI au ukahailisha kama uliona lazma uwepo

Mh. Rai umenishangaza sana...!
Mbona wewe hujaenda kuwaaga upo kwenye keyboards unalia lia au ulidhani kuna kadi ya mwaliko. Jana JPM ametuma salamu za rambirambi na leo amewakilishwa na Waziri wa Wizara Husika hii inafahamika kama Delegations of Power.
 
Leo ndiyo wale askari polisi 8 waliowawa kule Pwani wameagwa pale police barracks

Askari wanane kufa kwa kupigwa risasi na watu ambao ni majambazi/magaidi ni msiba wa kitafa..

Hivi mh Rais uliona taabu gani kwenda kushirikiana na askari wako katika kuwaaga wale askari.

Mh Rais uzidunzi wa hostel ni mhimu kuliko kuwaaga askari wako!

Kweli kabisa Mwigulu afike wew usifike? hilo suala la hostel kwa nin hukunuachia RC Makonda na waziri LUKUVI au ukahailisha kama uliona lazma uwepo

Mh. Rai umenishangaza sana...!

Waliokufa ni kabila gani au w anatokea Ukanda gani??Ukishajua jumlisha toa au gawanya utapata jibu.

Au unadhani hao 8 wangempa headlines Mkullu wange??

Angempa Makonda asingetoka fent font,angempa Lukuvi sifa ingeenda kwa Lukuvi.

Angempa Makamu ni mwanamke.

Julisha gawanya toa utapata jibu.
 
Leo ndiyo wale askari polisi 8 waliowawa kule Pwani wameagwa pale police barracks

Askari wanane kufa kwa kupigwa risasi na watu ambao ni majambazi/magaidi ni msiba wa kitafa..

Hivi mh Rais uliona taabu gani kwenda kushirikiana na askari wako katika kuwaaga wale askari.

Mh Rais uzidunzi wa hostel ni mhimu kuliko kuwaaga askari wako!

Kweli kabisa Mwigulu afike wew usifike? hilo suala la hostel kwa nin hukunuachia RC Makonda na waziri LUKUVI au ukahailisha kama uliona lazma uwepo

Mh. Rai umenishangaza sana...!
Tunakushangaa unavyoshangaa mkuu wa nchi kutokuwepo pale hata yeye akipitia huku akaona uzi huu atawashangaa mnavyoshangaa maana amekwepa vingi vya msingi kuliko hicho.
Akikutana na wewe akakuuliza ina maana wewe leo ndiyo umeniona utamjibuje. Kama mikutano ya maraisi anatumwa mwakilishi itakuwa hiyo.
 
Leo ndiyo wale askari polisi 8 waliowawa kule Pwani wameagwa pale police barracks

Askari wanane kufa kwa kupigwa risasi na watu ambao ni majambazi/magaidi ni msiba wa kitafa..

Hivi mh Rais uliona taabu gani kwenda kushirikiana na askari wako katika kuwaaga wale askari.

Mh Rais uzidunzi wa hostel ni mhimu kuliko kuwaaga askari wako!

Kweli kabisa Mwigulu afike wew usifike? hilo suala la hostel kwa nin hukunuachia RC Makonda na waziri LUKUVI au ukahailisha kama uliona lazma uwepo

Mh. Rai umenishangaza sana...!
mkuu, nadhani watu wanapima kiki ipi ni nzito zaidi ya nyingine.

mambo ya "si hasa" hayo mkuu!
 
Rais anaweza kutuma mwakilishi, sawa. Lakini kutoonekana kwake katika kuaga miili ya polisi wanane siyo ushauri sahihi kwa Rais. Kiki nyingi ambazo pia huwagusa watawaliwa ni pale mtawala aposikitika pamoja nao na siyo kufurahi. Ufunguzi wa mabweni ungesubirau ni yale ya kutokwenda Zambia kutokana na tetemeko la Bukoba lakini Bukoba kwenyewe hakwenda mpaka ilipopita miezi kadha.
 
Back
Top Bottom