technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
- Thread starter
-
- #21
Unapo msimamisha mtu kazi unatakiwa hiyo nafasi iwe wazi mpaka umalize uchunguzi !!Hivi hujui tofauti kati ya kufukuzwa na kusimamishwa kazi? Lazima walipwe stahiki zao maana umewatuhumu tu na hujathibitisha
Naomba uniambie sheria na taratibu za utumishi wa Umma zinasemaje kwa watumishi walio simamishwa kazi?View attachment 387995View attachment 387992 kama ni kweli bado unayalipa haya majipu mamilioni ya pesa wakati waliochukua nafasi zao nao unawalipa mamilioni kama ni kweli basi Mimi nimeacha siasa kabisa niludi kwenye betting
Hii haikubaliki hata kidogo walimu wamekatwa mishaara yao
Vijana hawajapewa pesa ya field study!!
Ajira za walala hoi bado !!
Alafu unalipa mafisadi uku ukitwambia unapambana na ufisadi?
Very sad
Hebu kasome hilo gazeti ndio ujue ni watu wa namna gani wanazungumziwa au watumishi wa namna gani wanazungumziwa...Sasa wewe utalipaje watu uliowaita mafisadi? Tena hadharani
Hoja yangu Mimi ni kumuita mtu fisadi halafu bado unamlipa elewaNaomba uniambie sheria na taratibu za utumishi wa Umma zinasemaje kwa watumishi walio simamishwa kazi?
Nyie si mnataka utawala wa sheria na taratibu? Hii ndio gharama yake! Sasa unashangaa nini mtu aliyesimamishwa kazi kuendelea kulipwa mshahara?
Mnashangaa sheria na taratibu za utumishi wa Umma kufatwa? Hapo ndio mjue kuwa Magufuli si dikteta.
Wewe unaezifahamu hizo sheria wanazotumia kwa wafanyakazi waliosimamishwa kazi ungemsaidia kujibu...hoja yake inakuwaje unamchafulia mtu mbele ya jamii kwa kumwita fisadi,jizi,mhujumu uchumi afu mwisho wa siku unampa stahiki zake? Huoni kuwa Rais nae anamakosa ya kuwadhalilisha wahusika ambao mahakama haijathibitisha kuwa ni mafisadi? Je serikali ikiambiwa na mahakama kuwalipa washtakiwa kwa makosa yasiyo na ukweli huoni kama wananchi walipa kodi si ndo wenye kuumia?Naomba uniambie sheria na taratibu za utumishi wa Umma zinasemaje kwa watumishi walio simamishwa kazi?
Nyie si mnataka utawala wa sheria na taratibu? Hii ndio gharama yake! Sasa unashangaa nini mtu aliyesimamishwa kazi kuendelea kulipwa mshahara?
Mnashangaa sheria na taratibu za utumishi wa Umma kufatwa? Hapo ndio mjue kuwa Magufuli si dikteta.
Hata kama imeandikwa kwenye vitabu vitakatifu bado hutoamini zaidi ya gazeti la UHURU na TazamaBinafsi sijawahi kuliamini gazeti la Tanzania Daima. Huwa wanaandika kinyume
mkuu hapo ndo SHERIA inafuatwa sasa. mtu akituhumiwa anakaa pembeni kupisha uchunguzi. na SHERIA hiyohiyo inasema lazima aendelee kupewa stahiki zake mpaka hapo uchunguzi utakapokamilika na kurudishwa kazini ama kufukuzwa kazi.Ndo madhara ya kutokufuata sheria katika kutatua matatizo
Ok sawa, je wakikutwa na hatia watarejesha hizo fedha na fidia?hizo ni tuhuma tu, usipowalipa je wakishinda kesi? si tutawalipa na fidia
Kwa hiyo wakikutwa na hatia watarudisha hayo mamilioni??mkuu hapo ndo SHERIA inafuatwa sasa. mtu akituhumiwa anakaa pembeni kupisha uchunguzi. na SHERIA hiyohiyo inasema lazima aendelee kupewa stahiki zake mpaka hapo uchunguzi utakapokamilika na kurudishwa kazini ama kufukuzwa kazi.
asingewalipa mgesema haya;
1. raisi hafuati SHERIA. anaongoza kiimla
2. raisi haheshimu haki za binadamu, ana mtuhumu mtu na kumwachisha kazi bila malipo yeye akale wapi na wategemezi wake?
Ama kweli mwenye husda, hata kama unachezea majini atakwambia unamtimulia vumbi.
Kesho utasikia rais alieleweka vibaya alikuwa anataniamambo ya mizuka haya shida sana
Binafsi sijawahi kuliamini gazeti la Tanzania Daima. Huwa wanaandika kinyume
kweli mkuu hawakawii kubadilika hawa watuKesho utasikia rais alieleweka vibaya alikuwa anatania
Usihofu. Kama siyo kweli kurugenzi ya ikulu itakanusha na Tanzania Daima wataomba msamaha halafu tutawafungiaBinafsi sijawahi kuliamini gazeti la Tanzania Daima. Huwa wanaandika kinyume
Kwani wamefukuzwa kazi ama wamesimamishwa kazi? Kwa kawaida mtu akisimamishwa anaendelea kulipwa mshahara isipokuwa madaraka yake hayafanyi kazi
Kwani wamefukuzwa kazi ama wamesimamishwa kazi? Kwa kawaida mtu akisimamishwa anaendelea kulipwa mshahara isipokuwa madaraka yake hayafanyi kazi
Kama ni tuhuma kwanini walitumbuliwa? Nini maana ya kutumbuliwa?hizo ni tuhuma tu, usipowalipa je wakishinda kesi? si tutawalipa na fidia
MzukaaaaaaBinafsi sijawahi kuliamini gazeti la Tanzania Daima. Huwa wanaandika kinyume