Nelson Masaduki
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 346
- 381
Rais John Magufuli aendelea kuwagusa Watanzania katika ziara anazofanya mikoani. Najiandaa kumsalimia akipita hapa Dumila, baada ya kutoka Iringa. Nimesikia leo anaanza ziara yake mkoani Iringa. Mungu umpe afya njema.



