Rais Magufuli kateua Mwanasheria mkuu



Unaongea kishabiki sana.
 

Tundu lisuu badooo
 
yani kama AG atabaki yuleyule basi Magufuli amekosea sana, huyu jamaa yani hata kujieleza hajui bungeni alikuwa anajikanyagakanyaga tu kina Lissu waka-take advantage ya udhaifu wake...
Please Mr.President tubadilishie huyu mtu.

ndo ivo mkuu. anaapishwa kesho saa nne asubuhi.. masaju! mmmh
 
too early to judge just wait and see

too early kivipi mkuu we hukuona we hujawahi kumuona anavyojiumauma bungeni mpaka spika Makinda alionesha kabisa kutokuwa na matumaini naye
 
too early kivipi mkuu we hukuona we hujawahi kumuona anavyojiumauma bungeni mpaka spika Makinda alionesha kabisa kutokuwa na matumaini naye
nakumbuka mkuu. ngoja tuone baraza lake la mawaziri.
 

Naunga mkono kweli ni mapema saana na mambo kama haya hayataki kukurupuka raisi ni taasisi hivyo si rahisi kuingia na mapya yote bila ku investigation mambo ya wezekana kupata mtu mpya lakini ukakuta yu ktk kundi ambolo silo polepole huku ukajioanga kwa mapya
 
Huyo ndo anaijua mikataba yote ya gesi na mafuta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…