Rais Magufuli kateua Mwanasheria mkuu

Rais Magufuli kateua Mwanasheria mkuu

Tindu Lissu ndio ni mwanasheria mwenye haiba yenye mvuto. Wengine wanamwita mwanasheria nguri. kwa umaarufu alionao yeye pamoja na wenzake nilitarajia kabla hata ya uchaguzi kufanyika angefungua kesi katika Mahakama dhidi ya Tume ya Uchaguzi badala ya kulalamika kama raia wa kawaida. Iweje Mhe Mchungaji C.Mtikila pamoja na kutokuwa na background kama shahada ya sheria na limited resources aweze kufungua kesi nyingi za kikatiba kuliko Tundu...hapa nani mwanasheria sasa kati ya Tundu na Mtikila...Mtikila amethubutu hata kwenda katika Mahakama ya Afrika Mashariki with personal capacity....Tundu bado sana kukomaa


Unaongea kishabiki sana.
 
Tindu Lissu ndio ni mwanasheria mwenye haiba yenye mvuto. Wengine wanamwita mwanasheria nguri. kwa umaarufu alionao yeye pamoja na wenzake nilitarajia kabla hata ya uchaguzi kufanyika angefungua kesi katika Mahakama dhidi ya Tume ya Uchaguzi badala ya kulalamika kama raia wa kawaida. Iweje Mhe Mchungaji C.Mtikila pamoja na kutokuwa na background kama shahada ya sheria na limited resources aweze kufungua kesi nyingi za kikatiba kuliko Tundu...hapa nani mwanasheria sasa kati ya Tundu na Mtikila...Mtikila amethubutu hata kwenda katika Mahakama ya Afrika Mashariki with personal capacity....Tundu bado sana kukomaa

Tundu lisuu badooo
 
yani kama AG atabaki yuleyule basi Magufuli amekosea sana, huyu jamaa yani hata kujieleza hajui bungeni alikuwa anajikanyagakanyaga tu kina Lissu waka-take advantage ya udhaifu wake...
Please Mr.President tubadilishie huyu mtu.

ndo ivo mkuu. anaapishwa kesho saa nne asubuhi.. masaju! mmmh
 
too early to judge just wait and see

too early kivipi mkuu we hukuona we hujawahi kumuona anavyojiumauma bungeni mpaka spika Makinda alionesha kabisa kutokuwa na matumaini naye
 
too early kivipi mkuu we hukuona we hujawahi kumuona anavyojiumauma bungeni mpaka spika Makinda alionesha kabisa kutokuwa na matumaini naye
nakumbuka mkuu. ngoja tuone baraza lake la mawaziri.
 
Ni mapema mno kutoa judgement kwamba kaanza vibaya au vizuri. Hata kocha au meneja akikabidhiwa timu anapofanya usajiri si lazima aondoe wachezaji wote. Huyo jamaa akionyesha udhaifu katika kusimamia majukumu yake anaweza kuwekwa benchi pia. Hapo ni bandika bandua.

Naunga mkono kweli ni mapema saana na mambo kama haya hayataki kukurupuka raisi ni taasisi hivyo si rahisi kuingia na mapya yote bila ku investigation mambo ya wezekana kupata mtu mpya lakini ukakuta yu ktk kundi ambolo silo polepole huku ukajioanga kwa mapya
 
Huyo ndo anaijua mikataba yote ya gesi na mafuta.
 
Back
Top Bottom