sirparadek
Member
- Nov 4, 2015
- 73
- 14
Nimesikia Rais kateua Mwanasheria mkuu kwa aliyesikia ni yule yule au in mwingine?
Na mimi nimesikia ndugu John mcheche Mshanju (sina uhakika)
Sio George mcheche masaju? Ni huyo huyo alokuwepo
Haaaa AG alikuwa nani vile? Masaju alikuwa nani b4?
Kwa gharama ya Mani mkuu?!:lock1:Ni mapema mno kutoa judgement kwamba kaanza vibaya au vizuri. Hata kocha au meneja akikabidhiwa timu anapofanya usajiri si lazima aondoe wachezaji wote. Huyo jamaa akionyesha udhaifu katika kusimamia majukumu yake anaweza kuwekwa benchi pia. Hapo ni bandika bandua.
Sio George mcheche masaju? Ni huyo huyo alokuwepo