Tairi bovu
JF-Expert Member
- Sep 28, 2017
- 3,063
- 2,983
tanga hajaenda, iringa, mbeya, rukwa, katavi, yye kila kukicha mwanza , mwanza, mwanzaLindi alienda nakumbuka alitoa order kivuko kiwekwe na mradi wa maji utekelezwe.
Mtwara alifika hadi Dangote na sasa hivi wanafanya installation ya gesi kwa amri yake.
Pemba/Unguja alienda.
Pwani amekwenda
Arusha/Manyara alienda na sasa hivi wanajenga ukuta kuzunguka mgodi.
Kigoma alienda kama mnakumbuka Zitto alitoa pongezi.
Mwanza, Kagera, Dodoma, Shinyanga kote kapita.
Acheni unafki aisee chuki hazijengi.
Sasa hivi yuko Singida
Walau wewe una takwimuLindi alienda nakumbuka alitoa order kivuko kiwekwe na mradi wa maji utekelezwe.
Mtwara alifika hadi Dangote na sasa hivi wanafanya installation ya gesi kwa amri yake.
Pemba/Unguja alienda.
Pwani amekwenda
Arusha/Manyara alienda na sasa hivi wanajenga ukuta kuzunguka mgodi.
Kigoma alienda kama mnakumbuka Zitto alitoa pongezi.
Mwanza, Kagera, Dodoma, Shinyanga kote kapita.
Acheni unafki aisee chuki hazijengi.
Sasa hivi yuko Singida
Babu yako rais wa mabushaRais gan alitembea nchi nzima na kila mahali?
mbeya je kaenda liniLindi alienda nakumbuka alitoa order kivuko kiwekwe na mradi wa maji utekelezwe.
Mtwara alifika hadi Dangote na sasa hivi wanafanya installation ya gesi kwa amri yake.
Pemba/Unguja alienda.
Pwani amekwenda
Arusha/Manyara alienda na sasa hivi wanajenga ukuta kuzunguka mgodi.
Kigoma alienda kama mnakumbuka Zitto alitoa pongezi.
Mwanza, Kagera, Dodoma, Shinyanga kote kapita.
Acheni unafki aisee chuki hazijengi.
Sasa hivi yuko Singida
KumekuchaaaWivu
No wonder basiNilikimbia shule tangu June...nikarudi august nikasimamishwa ..nikarudi kufanya pepa tu nikapata div5 so nieleweshe
mbeya we are okay...we don need him
Mlina namatingo fijoNyachusa.....wajomba zangu mmna majifuno...mwe
Nyie ata hio 2020 hamfikiSugu mwisho 2020 save the date
Mbeya si mna rais wenu Sugu,mbeya we are okay...we don need him
Asipokuja Mbeya wana CCM wataanza kampeni ya kutompa kura ili zile za Mwanza zimtoshe.Hawezi kufika kila sehemu...