Rais Magufuli katembelea mikoa mingi sana, si mbaguzi kama wasemavyo

Lindi alienda nakumbuka alitoa order kivuko kiwekwe na mradi wa maji utekelezwe.

Mtwara alifika hadi Dangote na sasa hivi wanafanya installation ya gesi kwa amri yake.

Pemba/Unguja alienda.

Pwani amekwenda

Arusha/Manyara alienda na sasa hivi wanajenga ukuta kuzunguka mgodi.

Kigoma alienda kama mnakumbuka Zitto alitoa pongezi.

Mwanza, Kagera, Dodoma, Shinyanga kote kapita.

Acheni unafki aisee chuki hazijengi.

Sasa hivi yuko Singida
tanga hajaenda, iringa, mbeya, rukwa, katavi, yye kila kukicha mwanza , mwanza, mwanza
 
Lindi alienda nakumbuka alitoa order kivuko kiwekwe na mradi wa maji utekelezwe.

Mtwara alifika hadi Dangote na sasa hivi wanafanya installation ya gesi kwa amri yake.

Pemba/Unguja alienda.

Pwani amekwenda

Arusha/Manyara alienda na sasa hivi wanajenga ukuta kuzunguka mgodi.

Kigoma alienda kama mnakumbuka Zitto alitoa pongezi.

Mwanza, Kagera, Dodoma, Shinyanga kote kapita.

Acheni unafki aisee chuki hazijengi.

Sasa hivi yuko Singida
Walau wewe una takwimu
 
Lindi alienda nakumbuka alitoa order kivuko kiwekwe na mradi wa maji utekelezwe.

Mtwara alifika hadi Dangote na sasa hivi wanafanya installation ya gesi kwa amri yake.

Pemba/Unguja alienda.

Pwani amekwenda

Arusha/Manyara alienda na sasa hivi wanajenga ukuta kuzunguka mgodi.

Kigoma alienda kama mnakumbuka Zitto alitoa pongezi.

Mwanza, Kagera, Dodoma, Shinyanga kote kapita.

Acheni unafki aisee chuki hazijengi.

Sasa hivi yuko Singida
mbeya je kaenda lini
 
Hawezi kufika kila sehemu...
Asipokuja Mbeya wana CCM wataanza kampeni ya kutompa kura ili zile za Mwanza zimtoshe.
Polepole katuudhi juzi ati CCM Mbeya ina ukabila ndo maana Sugu anawaendesha puta.
Sababu za kijinga sana.
Na CHADEMA Mbeya wao wana kabila gani?
Umoja wao wanautoa wapi?
Rais Magufuli inaelekea anaendekeza kuinyanyapaa Mbeya kimaendeleo, hii si sawa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom