kichwabox
Senior Member
- Feb 14, 2016
- 152
- 40
MH.dr john pombe magufuli tunakuandikia email nyingi kupitia press@ikulu.go.tz ila hazina majibu huenda zinakwamishwa na majipu machache tunakuomba mheshimiwa uzifuatilie.
Ndolanga Mtata alipotoka FAT akazamia msikitini balaa tupu hadi akafukuzwa lakini akagoma pia.... Ng'ang'anizi balaaLabda Salva kafanya kama ya Ndolanga kipind cha FAT, kaondoka na password!