Fundi mahiri wa ujenzi
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 3,954
- 2,439
ImaginationMkuu kwasasa unaweza ukawa umekamilisha yote lkn bado ukapata usumbufu ili wamfuraishe bwana mkubwa
ImaginationMkuu kwasasa unaweza ukawa umekamilisha yote lkn bado ukapata usumbufu ili wamfuraishe bwana mkubwa
Iyobela imekamatwa au aikukamatwa???Acha bhana... kumbe drama zitaendelea kumiminika?! No wonder Bongo Movie inakufa manake Ikulyhood inaendelea kushusha drama kila uchao! Wakipata idea tu; mbio location... hata script hakuna!!!
Tuanze na vichwa vya treni kwanza... mwenyewe ameshapatikana?! Au tusubirie mnada wake?!
Tz longo longo nyingi mkuu. Nilikuja hapo nkaenda Barclay's bank nataka kutoa Euro kadhaa nikaambiwa eti hadi sijui tiss ya BoT ipitishwe.....Pole kwa usumbufu.
Ndio maana wanabeba cash kuepuka usumbufu wa aina hii.
umeua mkuuAmalizie season finale ya ambulance kwanza kabla hajatuletea series nyingine manake tushachoka sasa!!!
Series ambazo hadi hivi sasa zimesimama kupisha matangazo ni pamoja na--
1. Makinikia Season 2
2. The Capturing of Vichwa Vya Treni visivyo na mwenyewe
3. Ukamatwaji wa sare za Jeshi la Wananchi Tanzania na hivyo kuibua hofu ya kuzuka vita hasa ukizingatia yale yaliyokuwa yanaendelea MKIRU.... wallah John kanishinda tabia!!
4. Ambulance Season 1, Episode 1
5. Migari zaidi ya 50 iliyoji-pretend ni migari ya Manjagu!
Please Director Magu, enough is enough!!
Internationally huruhusiwi kusafiri na zaidi ya dollar 10,000 cash.....!!Mtu hela zake,,mnasema mmemkamata nazo kama vile ameiba sehemu, kwaiyo sasaivi ukiwa na dollar kadhaa unataka kwenda kufunga mzigo wa spea nje,, ni mtihani kutokanazo,,,labda iwe dollar elfu kumi tu
si tatizo kuingiza au kutoa tatizo ni utaratibu na sababuZimekamatwa zikitoka? Kwani je kama huyo mjamaa alikuwa anafuata mzigo chin kuna tatizo kwan mazee
Au mimi uelewa wangu ni mdogo
LONDON BOY
Ila Tanzania hii ina vituko sana sijawahi kuona, ama basi umasikini ushapiga hodi sasa $M1 mbona ni pesa ya kawaida kabisa ki ufanya biashara
Kamuulize Bashite mtoto wa sizonje
Wewe kwel bashite labda huko kwenu koromije ndio masikin wa namna hio but not at this side bobbsWe chizi kweli....
At which circumstances unaweza kuita $1m ni pesa ya kawaida.....ni 99% ya watu wote duniani uzaliwa na kufa bila ya kumiliki $1m afu wewe unaleta ujinga hapa.
Be serious sometimes
Subiri wewe episodes na series bado ziko za kutosha vunga kidogo usiwe na haraka acha matangazo yapite kwanzaAmalizie season finale ya ambulance kwanza kabla hajatuletea series nyingine manake tushachoka sasa!!!
Series ambazo hadi hivi sasa zimesimama kupisha matangazo ni pamoja na--
1. Makinikia Season 2
2. The Capturing of Vichwa Vya Treni visivyo na mwenyewe
3. Ukamatwaji wa sare za Jeshi la Wananchi Tanzania na hivyo kuibua hofu ya kuzuka vita hasa ukizingatia yale yaliyokuwa yanaendelea MKIRU.... wallah John kanishinda tabia!!
4. Ambulance Season 1, Episode 1
5. Migari zaidi ya 50 iliyoji-pretend ni migari ya Manjagu!
Please Director Magu, enough is enough!!
Au ndio mzigo wa Dr shika ulikuwa unaingia??? Maaana zile nyumba zake bado hazijanunuliwa!"Hapa ninapozungumza Airport wameshakamata dola bilioni moja, zilikuwa zinaingia nchini, ndivyo Tanzania inavyotumika kutakatisha fedha," - Magufuli
Rais Magufuli ameyasema hayo katika sherehe za ufunguzi wa tawi la Crdb mjini Dodoma. Source TBC tv!
Panya akiona nyama iliyotegeshewa kwenye mtego anasema nikiila nina hasara gani! Mawazo yake yanakuwa yamefanana na ya kwako! Nadhani hata kama unapenda vya bure jaribu kujiuliza unapoona vinazidi!hivi anajua maana ya bilioni moja kweli? na je, kama hela hiyo inakuja kuingia kwenye nchi yetu, yeye ana hasara gani? ingekuwa inatoka sawa, sasa inaingia kwenye system yetu. hahaha,
Huwezi kuelewa, unafikiri Mara hapaZimekamatwa zikitoka? Kwani je kama huyo mjamaa alikuwa anafuata mzigo chin kuna tatizo kwan mazee
Au mimi uelewa wangu ni mdogo
LONDON BOY
Naona unadhani ni enzi za kufukia noti mtungini! Ukijiunga JF chukuwa muda wa kujifunza mambo ya Dunia. Uelewa ni vazi la akili. Unaposikia kiasi hicho cha pesa halafu ukatoa maoni kama haya ya kwako tulioko pembeni tunajua uelewa wa mambo ya dunia uko chini. Ni mbaya zaidi maoni yako yanapopewa likes kibao. Hiyo ni ishara kwamba TZ uelewa uko chini saaana!Mtu hela zake,,mnasema mmemkamata nazo kama vile ameiba sehemu, kwaiyo sasaivi ukiwa na dollar kadhaa unataka kwenda kufunga mzigo wa spea nje,, ni mtihani kutokanazo,,,labda iwe dollar elfu kumi tu