figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,717
- 55,819
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Pombe Magufuli, amemuongezea Mkuu wa Majeshi wa Tanzania Jenerali Davis Mwamunyange mwaka mmoja wa kuendelea kuliongoza Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ).