Sumve 2015
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 4,415
- 4,060
Rais Magufuli ametengua uteuzi wa aliyekuwa akishikilia nafasi hiyo Richard Mayongela na kumtaka kuripoti Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano kupangiwa kazi nyingine
Rais amemteua aliyekuwa Meneja wa Wakala wa Barabara Tanzania mkoa wa Dar, Mhandisi Julius Ndyamukama kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TAA
Aidha, Mhandisi Ndyamukama ndiye aliyekuwa Msimamizi Mkuu wa ujenzi wa majengo namba 3(Terminal III) ya uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar
Sent using Jamii Forums mobile app
Rais amemteua aliyekuwa Meneja wa Wakala wa Barabara Tanzania mkoa wa Dar, Mhandisi Julius Ndyamukama kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TAA
Aidha, Mhandisi Ndyamukama ndiye aliyekuwa Msimamizi Mkuu wa ujenzi wa majengo namba 3(Terminal III) ya uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar
Sent using Jamii Forums mobile app