real G
JF-Expert Member
- Feb 7, 2013
- 5,227
- 5,287
Rais Dkt. John Pombe Magufuli leo Januari 16, 2018 amepokea hati za utambulisho wa Mabalozi sita walioteuliwa kuziwakilisha nchi zao hapa nchini na kuwaomba mabalozi hao kuwakaribisha viongozi wa nchini zao kutembelea Tanzania.
Taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu, Gerson Msigwa imesema kuwa mabalozi hao waliowasilisha hati za utambulisho ni pamoja na Balozi wa Nigeria hapa nchini, Balozi wa Polanda, Balozi wa Uturuki, Balozi wa Ufaransa, Balozi wa Israel pamoja na Balozi wa Australia
Taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu, Gerson Msigwa imesema kuwa mabalozi hao waliowasilisha hati za utambulisho ni pamoja na Balozi wa Nigeria hapa nchini, Balozi wa Polanda, Balozi wa Uturuki, Balozi wa Ufaransa, Balozi wa Israel pamoja na Balozi wa Australia