Rais Magufuli akumbushwe imebakia Miaka mitatu na miezi kadhaa tuchague Rais mwingine.

chakii

JF-Expert Member
Sep 15, 2013
19,685
22,694
Habari wanabodi,..


Ni busara na haki kabisa Mhe Rais wa Tanzania Joseph Magufuli akawa anakumbushwa muda uliosalia wa yeye kuwepo madarakani, ni takriban miaka mitatu tu na miezi kadhaa imebakia kabla hajatoka madarakani na nchi kukabidhiwa kwa kiongozi mwingine atakayeweza kutuvusha kutoka hapa tulipo.

Rais akumbushwe tena yale mambo ya msingi aliyoahidi wakati wa kampeni kwani ameshayasahau na hayagusii kabisa.


Watanzania wamechoka na mambo yanayoendelea kwa sasa mathalani ugumu wa maisha, hakuna mtanzania aliyempigia kura Magufuli ili aje kuitwa kila.za, afukuzwe kazi, abomolewe nyumba yake, anyimwe ajira, anyimwe chakula cha msaada. Hizi zote ni sintofahamu KUU zilizokuja kujitokeza baadae baada ya kuaminiwa ndivyo sivyo.



Niishie hapa kwa leo!
 
Habari wanabodi,..


Ni busara na haki kabisa Mhe Rais wa Tanzania Joseph Magufuli akawa anakumbushwa muda uliosalia wa yeye kuwepo madarakani, ni takriban miaka mitatu tu na miezi kadhaa imebakia kabla hajatoka madarakani na nchi kukabidhiwa kwa kiongozi mwingine atakayeweza kutuvusha kutoka hapa tulipo.

Rais akumbushwe tena yale mambo ya msingi aliyoahidi wakati wa kampeni kwani ameshayasahau na hayagusii kabisa.


Watanzania wamechoka na mambo yanayoendelea kwa sasa mathalani ugumu wa maisha, hakuna mtanzania aliyempigia kura Magufuli ili aje kuitwa kila.za, afukuzwe kazi, abomolewe nyumba yake, anyimwe ajira, anyimwe chakula cha msaada. Hizi zote ni sintofahamu KUU zilizokuja kujitokeza baadae baada ya kuaminiwa ndivyo sivyo.



Niishie hapa kwa leo!
Ni kweli lakini Rais anatoka CCM pekee...hilo unatakiwa uliweke akilini..kufikiri kinyume na hapo ni kujidanganya tuu...
 
Habari wanabodi,..


Ni busara na haki kabisa Mhe Rais wa Tanzania Joseph Magufuli akawa anakumbushwa muda uliosalia wa yeye kuwepo madarakani, ni takriban miaka mitatu tu na miezi kadhaa imebakia kabla hajatoka madarakani na nchi kukabidhiwa kwa kiongozi mwingine atakayeweza kutuvusha kutoka hapa tulipo.

Rais akumbushwe tena yale mambo ya msingi aliyoahidi wakati wa kampeni kwani ameshayasahau na hayagusii kabisa.


Watanzania wamechoka na mambo yanayoendelea kwa sasa mathalani ugumu wa maisha, hakuna mtanzania aliyempigia kura Magufuli ili aje kuitwa kila.za, afukuzwe kazi, abomolewe nyumba yake, anyimwe ajira, anyimwe chakula cha msaada. Hizi zote ni sintofahamu KUU zilizokuja kujitokeza baadae baada ya kuaminiwa ndivyo sivyo.



Niishie hapa kwa leo!
Sio mchague raisi mwingine!! Nyorosha sentensi. Tumchague tena
 
Miwili,wa tatu ni wa kampeni,hakuna kilichofanyika

Inawezekana DOBI anayetwambia ananyoosha hajastuka kwamba pasi haina mkaa wa moto,

Au hajastuka kwamba hata ile pasi ya umeme aliitumia kunyoosha wakati umeme umekatika
 
Acheni unafiki ndugu mnaemchagua mwingine ni yupi ? Na huyo mwingine mnamchagua kwa katiba ipi ndugu yangu? ????
 
Habari wanabodi,..


Ni busara na haki kabisa Mhe Rais wa Tanzania Joseph Magufuli akawa anakumbushwa muda uliosalia wa yeye kuwepo madarakani, ni takriban miaka mitatu tu na miezi kadhaa imebakia kabla hajatoka madarakani na nchi kukabidhiwa kwa kiongozi mwingine atakayeweza kutuvusha kutoka hapa tulipo.

Rais akumbushwe tena yale mambo ya msingi aliyoahidi wakati wa kampeni kwani ameshayasahau na hayagusii kabisa.


Watanzania wamechoka na mambo yanayoendelea kwa sasa mathalani ugumu wa maisha, hakuna mtanzania aliyempigia kura Magufuli ili aje kuitwa kila.za, afukuzwe kazi, abomolewe nyumba yake, anyimwe ajira, anyimwe chakula cha msaada. Hizi zote ni sintofahamu KUU zilizokuja kujitokeza baadae baada ya kuaminiwa ndivyo sivyo.



Niishie hapa kwa leo!
Lazima kukumbushana mkuu
 
Miwili,wa tatu ni wa kampeni,hakuna kilichofanyika

Inawezekana DOBI anayetwambia ananyoosha hajastuka kwamba pasi haina mkaa wa moto,

Au hajastuka kwamba hata ile pasi ya umeme aliitumia kunyoosha wakati umeme umekatika
Duh, kumbe miwili (2) TU mkuu?! Hatari sana na hajafanya lolote mpaka sasa
 
Kila mtu kwa sehemu yake awajibike kueneza ujumbe wa ukombozi kwa watu wa kawaida Mimi huku nimeanza hizo harakati lakini kwa tahadhari kuu nisijenaswa na nyoka wavaao miwani+suti nyeusi.Adhabu ya kubinywa korodani siwezi kuhimili.Kwenye tekisi,daladala,sokoni na vijiweni nazitumia rekodi za sauti za mkulu kuwaonyesha ni aina gani ya kiongozi tuliye nayr.Juzi kuna mzee nilimpleia kile kipande asemacho " ...Huwezi kugawa chakula wakati ardhi ni ya kijani hivi.Hakuna chakula cha serikali.Mkuu wa wilaya mimi sileti chakula.Serikali haina shamba.Mwafwaa,kila mtu abebe msalaba wake.Unaweza kubashiri facial expression ya yule mzee...
 
Kila mtu kwa sehemu yake awajibike kueneza ujumbe wa ukombozi kwa watu wa kawaida Mimi huku nimeanza hizo harakati lakini kwa tahadhari kuu nisijenaswa na nyoka wavaao miwani+suti nyeusi.Adhabu ya kubinywa korodani siwezi kuhimili.Kwenye tekisi,daladala,sokoni na vijiweni nazitumia rekodi za sauti za mkulu kuwaonyesha ni aina gani ya kiongozi tuliye nayr.Juzi kuna mzee nilimpleia kile kipande asemacho " ...Huwezi kugawa chakula wakati ardhi ni ya kijani hivi.Hakuna chakula cha serikali.Mkuu wa wilaya mimi sileti chakula.Serikali haina shamba.Mwafwaa,kila mtu abebe msalaba wake.Unaweza kubashiri facial expression ya yule mzee...
Safi sana mkuu,
 
Sizonje yuko busy Kutumbua watumishi wa Umma, kutoa matamko holela, kununua ndege, kulazimisha kuhamia Dodoma, kupambana na wanakagera, Kutengeneza madawati, Kuteua makada wa CCM kwenye vyeo vya serikali, Kukesha na mafaili ikulu, kukariri takwimu, Kuzurura ndani ya nchi na misafara ya magari, Kuhutubia makanisani, Kujenga uwanja wa ndege wa kisasa kule Chato, Kuangalia Clouds Tv, Kusaka sukari 'iliyofichwa', Kumsaka Faru John, 'Kuchakachu..' takwimu za mapato ya TRA, kupiga vijembe wapinzani wake, kuwadhihaki viongozi waliopita, Kupambana na Lema, Kuimaliza Kaskazini nk.

Miaka mitano itakwisha na blah blah tu, huku wananchi wakizidi kufa kwa kukosa dawa mahospitalini, Umaskini ukiongezeka kwa sababu ya Ukata, Njaa ikizidi kuwamaliza watanzania, Zika ikizidi kuenea nchini nk.
 
Muhimu mkuu, jamaa kashajisahau naona, miaka aliyopewa ni mitano (5) TU
Kaka mbona mnauzunguka mbuyu alietoa mada hii inatakiwa afikirie kwanza kabla ya kupakia habari hii hapa.kwa katiba ipi utamchagua rais mwingine?? @ na ni kwa tume gani ya uchaguzi hadi rais mwingine achaguliwe. Hii habari ni unafiki na uzandiki mtupu! !!!
 
Uchaguzi ujao hachomoki hata ikiwezekana nguvu ya umma itumike

Inawezekana kabisa ccm wasipoleta figisufigisu...

mfalme alijua majukumu yatakuwa rahisi, matokeo yake amelewa sifa amesahau mafaili yaliyopo ofisini kwake.

ahadi za uchaguzi zimekuwa ngumu kutekelezeka, uchumi umedumaa, hazina imefilisika....
 
Habari za wakati huu watanzania wenzangu.
Jana nilifanikiwa kupata rekodi ya sauti juu ya kilichozungumzwa na 'mkuu' akiwa ziarani Bukoba kuwaona waathirika wa tetemeko.Sio siri nilikumbwa na hofu,kihoro na mwisho huzuni ikanivaa."Hakuna chakula cha msaada,mkuu wa wilaya mimi sileti chakula hapa....".Kama binadamu nilisikitika mno.Kutamka vile inahitaji ujasiri na moyo mgumu sana.Ila ujasiri wa ajabu ni wa wale wananchi waliokuwa wanacheka,kupiga makofi na kushanhilia maneno makali yale yasiyotia tumaini!lipi la kuchekesha?kwamba sitawajengea nyumba?au neno mwafwa?jamani mbona hayachekeshi?na vile yalivyokosa usanaa ndani yake na kutamkwa kwa ukali na vitisho nadhani watu walipaswa kukimbia kwa hofu!.
Nilizifuta haraka zile rekodi zs sauti(za mkuu) kisha nikajigeukia upande wangu.Nikaumba taswira yake akiwa anahutubia umati mkubwa wa wahitimu wa ualimu ngazi ya cheti,stashahada na shahada masomo ya sanaa.Ndani ya umati huo nipo mimi nikiwa nimevalia mavazi kuukuu(suruali imejazwa viraka makalioni ambavyo pia vimekosa adabu.Eti kwa kejeli huamkiana shikamoo kiraka.cha kalio la kushoto kikimsabahi sahibu yake wa kalio la kulia).Viatu vilivyokwisha upande na shati la mikono mifupi rangi ya mauamaua lililopambwa picha za njiwa lililosopekwa kwenye suruali njiwa yangu .Uso umechakaa kwa kujazilizwa na ndefu nyingi,zilizosokotana mithili ya brashi isuguayo sakafu ya vyoo vya uma!
Taswira ya mkuu inaendelea kurandaranda kichwani mwangu,namuona akiyageuza maneno ya Bukoba ili yatulenge sisi.Kwa ukali anang'aka "hakuna ajira za waalimu wa masomo ya sanaa!waziri wa elimu hakuna ajira!serikali haina ajira!kuna watu wamehitimu tushahada twao tudogo tena TWA masomo ya sanaa wabasubiria ajira,nawaambia mwafwaa....kufikia hapo mapigo ya moyo yananifukuta,macho nayatoa pima na kutahamaki watu wanakimbia kwa hofu,nami naanza kuzichanga hatua za miguu 1,2,3....miguu inagota kisogoni.Kihoro.Anaogofya.
Ghafla najikuta nipo peke yangu nje ya kajumba kangu ka mianzi kalikoezekwa kwa mianzi.Kumbe ulikuwa ni mzugo wa fikara tu!lakini ukweli mchungu haufutiki,ajira hakuna.Kiwahili na historia ni masomo ya sanaa,ingawa ktk baadhi ya kozi za kiswahili nimefunzwa sayansi ya lugha(Isimu) lakini Waziri wa elimu hakuitaja!Alitaka zile sayansi pyua(pure) zenye makemikali na ukokotozi ndanu yake.
Nikiendelea kubung'aabung'aa mithili ya zuzu ghafla anakatiza Shani binti Mwamanyeghesi.Kaloa na mvua,hana mwanvuli hivyo anasogea ajibanze upenuni pangu.Kaloa chapachapa.Mavazi mepesi mafupi aloyatinga yanagandamana mwilini mwake.Na lile umbile nene lenye shibe,umbile la kinyakyusa ananihamasisha kutenda uovu.Haraka sana mawazo ya ukosefy wa ajira yanapotea.Yaani kwa mda ule ningeulizwa kitenzi kisaidizi ni nini ningejibu sahani!tayari nilishakuwa Zuzu.
Ananijia kwa kunesanesa tena kinyumenyume kanipa mgongo na kuacha nifaidi kuangalia rasilimali makalio yake.Ananesanesa na kuyayumbisha makalio yake kwa nguvu.Naam makalio makubwa yaliyovirigwa mfanowe wa tufe!mviringo makini,sio pembetatu.
Kitu mfanowe wa mzizi wa mmea wa kisamvu kinamea taratibu na kuchomoza maungoni.Sasa ni dhahiri nimehamanika!utimamu wa akiki umeyeyuka.Ubongo hauchakati mambo kwa usahihi.Ninaanza kutamka maneno ambayo kwa muktadha ule hayana maana!Naam muktadha wa kutamani kumlaza Shani kwenye chano.Nimtie na saladi,kitunguu maji,asali,tambuu na bagia nimfaidi.Naanza kutamka "mzuri...kivumishi,...sentensi....faru....wa nipo kufundisha kiswahili kidato cha tatu.
Shani ananifikia na kunibamiza na makalio yake maungoni.Kijasho chembamba kinachuruzika kwapani,maungoni na kwenye meno na kutoa harufu ya kuudhi.Anatoka upenuni kisha anautikisa mwili wake kwa nguvu.Ananisonya kwa dharau na kudokeza "...tafuta hela unifaidi.Ila ukipata ajira tuu ntahamia hata kwako".Anaondoka kwa mbwembwe huku kaniacha nikiyakereza meno kwa utamu wa haja.
Akiisha kutokomea ndipo utimamu wa akili unarejea.Naanza kujuta.Najutia kuropoka neno faru kipindi nilipochafukwa .Hofu inanitawala,nisijeitwa mchochezi.Kwa haraka nafuta mawazo hayo kwani Subira Mwamambolesi kaja 'geto' kwangu nimfundishe kiswahili. Najiweka sawa asijeona maungo yalivyochemka....
 
Back
Top Bottom