Angekuwa hana njaa asingekubali kuteuliwa kuwa DCDC safi sana
Huna njaa njaa za wanasiasa
Hamna uteuzi ni heshima nautumishi wa taifaAngekuwa hana njaa asingekubali kuteuliwa kuwa DC
Gabriel simon anajitambua ameona heri fedheha kwa mkulu kuliko lawama kwa wananchi kwa yanayowakuta,hao wengine hawezi ona yanayokuja hatawapande juu ya kichuguusafi sana
unashuka gari linaendelea na safari
nimwendo ulelule
wagonjwa wengine mjitokeze
Alikubali ki utu uzima kaondoka ki utu uzima.Angekuwa hana njaa asingekubali kuteuliwa kuwa DC
Swali ndogo, hivi kwa mazingira hayo angeweza kukataa? !
Km mimi ningekuwa Rais wala hata nisingesumbuka kumjibu, ningeteua mwingine kimya kimya. Refer story ya Nyerere na yule waziri mdogo wa UK aliyeonekana changudoa.
Pamoja na kuandika barua ya kujiuzuru Magreth Thatcher hakusumbuka hata kumjibu alichagua mwingine kimya kimya.
Simaanishi kwamba huyo DC ametenda kosa kama la waziri mdogo wa UK, hapana. Ila ameidhalilisha Taasisi ya Urais kwamba inateuwa watu bila kuwafanyia VETTING lakini pia wateuliwa huwa huwaulizwi kama wanakubali teuzi hizo kabla ya kutangazwa. Hii ni kashifa kubwa sana kwa Taasisi ya juu sana nchini
Angekuwa hana njaa asingekubali kuteuliwa kuwa DC[/QUOTE
we ulitakaje hao wakuu kama hawajiheshimu wanaheshiwiweje,ni fundisho kila mmoja lazima aheshimiweSwali ndogo, hivi kwa mazingira hayo angeweza kukataa? !
Km mimi ningekuwa Rais wala hata nisingesumbuka kumjibu, ningeteua mwingine kimya kimya. Refer story ya Nyerere na yule waziri mdogo wa UK aliyeonekana changudoa.
Pamoja na kuandika barua ya kujiuzuru Magreth Thatcher hakusumbuka hata kumjibu alichagua mwingine kimya kimya.
Simaanishi kwamba huyo DC ametenda kosa kama la waziri mdogo wa UK, hapana. Ila ameidhalilisha Taasisi ya Urais kwamba inateuwa watu bila kuwafanyia VETTING lakini pia wateuliwa huwa huwaulizwi kama wanakubali teuzi hizo kabla ya kutangazwa. Hii ni kashifa kubwa sana kwa Taasisi ya juu sana nchini
Sasa anaweza kataa?