Rais Magufuli aambiwe kuwa ndege, madaraja, reli za umeme sio vipaumbele vyetu

assadsyria3

JF-Expert Member
Apr 9, 2013
6,904
4,050
Niyasemayo nikwakuwa katiba ya Tanzania inanipa mamlaka of free expression.

Kutumia mabilioni kununua Ndege,pia bilions zimetengwa kununua Boeing kule America sio kipaumbele kwa taifa kwa sasa.

Kujenga flyover ndani ya Daresalaam Na kutumia bilions sio kipaumbele chetu. kwanini masoko Na ofisi kuu zisihamishwe katika ya jiji Na kuwekwa pembezoni.

kujenga reli ya umeme Tanzania ni kutojua vipaumbele vya watanzania. si kwamba haifai Bali time yetu bado.

Vipaumbele vya watanzania;

1. KILIMO
Fedha zote zilizo nunulia ndege zingewekezwa kwenye kilimo kwa kuwekeza kwenye benki za wakulima, kuwekeza kilimo cha umwagiliaji, serikali kutumia taasisi kama jeshi, vyuo vya kilimo kufanya tafiti za udongo na mbegu, wadudu. pia kuwekeza kwenye pembejeo za kilimo kama matrekta ya kulimia, kuvuna nk.

Kilimo kimedharauliwa sana.

2. ELIMU
Serikali ilitakiwa iboreshe elimu hasa VETA, ijenge vyuo kila wilaya tupate wataalamu wa kati na kati kwa ajili ya viwanda vidogo. Pia iwekeze kwa vyuo vya kilimo tupate maafisa ugani wa kutosha.

Pia elimu kwa vitendo kuanzia sekondari mpaka vyuo vikuu iboreshwe. Nimesoma science udsm kwa kweli lab ya chuo kikuu ni aibu, watu wanadesa tu. Km taifa litadharau quality ya elimu tutazani tunawasomi lakini incompetent.

3. AFYA
Serikali ilipaswa iwekeze kwenye afya. fikiria hata wewe, wazazi wanalala chini, dawa hakuna, vifaa tiba vichache, gharama kubwa kwa magonjwa serious, kweli tujenge reli ya umeme?

4. TUWEKEZE KWENYE MADINI NA GESI ASILIA
Uchumi wetu unakuwa boosted na madini. Je, kama kule Mererani kungejengwa viwanda vya Vito Na madini yale kuongezewa thamani.

Pili kuwekeza ni pamoja na kureview mikataba kwa kuiweka wazi hasa bungeni ikapitiwa upya.

Tatu ni kuwekeza kwenye nishati ya umeme kupitia gesi asilia. umeme ndio determinant WA kila kitu Na ndio engine ya uchumi wowote. sasa unanunua sh500 unauza 200,halafu unahubiri Tanzania ya viwanda, are we serious.

Nimetaja vipaumbele vichache kati vingi ambavyo serikali ilipaswa ianze navyo kuinua mateso na umaskini wa watu wetu.

Assadsyria3
 
sasa kama sio tulikua tunapiga kelele za nini kwa ATCL ohooo sijui inakufa sijui nini watz ni watu wanafiki degree ya kwanza,usipo improve infrastructure hayo mengine ni kazi bure niambie madawa tunasafirisha vipi kama miundombunu mibovu??niambie hiyo elimu walimu wanafika vipi huko mashuleni kama miundombinu mibovu??huyo mkulima anafikisha vipi hayo mazao kama miundombinu mibovu??hayo madini tunasafirishaje kama miundombinu mibovu???
 
ukiangalia uko vijijini Hali ni mbaya sana. wananchi wetu wengi ni wakulima Na wafugaji lakin tangu Uhuru tunaomba tu, siasa ni kilimo ,kilimo kwanza watu wengine wakisoma Na Ile research yakuwa kila watu mmoja ni chizi unawezaje kubisha
 
Hivi hujui kuwa wakulima inakopita reli mazao yao yanaozea mashambani kwa ƙukosekana usafiri wa kasi.watu wanalima mɓoga na matunda nk zinaozea njiani kabla ya kufika sokoni nɗani ya nchi na nje ya nchi?

Hivi unajua kuwa mifugo inafika masoko ƴa mifugo ɗar ikiwa na nusu uzito kwa kukonɗeana njiani kwa kukosa usafiri wa haraƙa minada ya mifugo dar kwa wanunuzi wa kimataifa?

Wewe kama ni mchumi utakuwa mchumi ƙoƙo ambaye uliyeajiriwa serikalini usiyejua nini kinaenɗelea kwenye sekta ɓinafsi.

Kumsaidia mkulima na mfugaji ni pamoja na kuwahisha mazao na mifugo sokoni au kiwandani kwa ɓakhresa au nje ya nchi ili apate ɓei nzuri
 
sasa kama sio tulikua tunapiga kelele za nini kwa ATCL ohooo sijui inakufa sijui nini watz ni watu wanafiki degree ya kwanza,usipo improve infrastructure hayo mengine ni kazi bure niambie madawa tunasafirisha vipi kama miundombunu mibovu??niambie hiyo elimu walimu wanafika vipi huko mashuleni kama miundombinu mibovu??huyo mkulima anafikisha vipi hayo mazao kama miundombinu mibovu??hayo madini tunasafirishaje kama miundombinu mibovu???
mkuu what u have said make sense. Ila kwanini tusiboreshe reli yetu ya Kati ambayo IPO, kuliko kujenga reli ya umeme ya gharama kubwa km tatizo ni ilo tu. kupanga ni kuchagua. watu wako wanashida ivo unatakiwa uboreshe reli kwa level yetu sio kutaka sifa kwamba reli ya pili Africa baada ya Morocco wakati sie maskini wakutupwa kila kitu twapewa misaada
 
mkuu what u have said make sense. Ila kwanini tusiboreshe reli yetu ya Kati ambayo IPO, kuliko kujenga reli ya umeme ya gharama kubwa km tatizo ni ilo tu. kupanga ni kuchagua. watu wako wanashida ivo unatakiwa uboreshe reli kwa level yetu sio kutaka sifa kwamba reli ya pili Africa baada ya Morocco wakati sie maskini wakutupwa kila kitu twapewa misaada
hiyo imeshapitwa na wakati kila siku ni nyinyi mnajifananisha na kenya sijui ethiopia leo hii tunataka kwenda huko hamtaki tena kwanini msingeshauri tokea enzi za kikwete kuboreshwa kwa reli hii??uwezo wa mizigo yetu kwa sasa hauendani na standard ya hiyo reli unayoiongelea,pili hivi sasa uhitaji wa muda ni mali zaidi hiyo reli ya kati unatumia wiki nzima kufika kigoma still bado unaing'ang'ania??
 
mnasahau kuwa miundombinu ndio mama wa nyanja zote, hata angejikita kwenye kilimo je, hayo mazao yatasafirishwa kwa mbinu gani kwenda kwenye masoko?
kwa ushauri mzuri angeongezea pia juhudi kwenye afya na si kubeza ujenzi wa miundo mbinu mhimu kama madaraja ambayo ndiyo coordinating accessories za maeneo yote nchini.

amuka angalia mbali aiseee!!!
 
Magufuli anatekeleza vipau mbele vilivyowekwa na Ilani ya CCM na kukubaliwa na wananchi wengi wa Tanzania....Hivi nyie CDM msiokuwa hata na Ilani mnataka kufanya lipi jipya kwenye kilimo?
Uchaguzi mzima waliƙuwa waƙipiga porojo hakuna ilani ƴa UKAWA waliyokuwa wameianɗaa kaɓla ya kunadi mgomɓea wao.Walitaƙa kushika nchi ɓila ƙuwa na ilani walitaka washike nchi kilaghai kwa maneno ya porojo majukwaani ambayo hayapo ƙwenƴe ilani ya Ukawa.Ha ha ha
 
Magufuli anatekeleza vipau mbele vilivyowekwa na Ilani ya CCM na kukubaliwa na wananchi wengi wa Tanzania....Hivi nyie CDM msiokuwa hata na Ilani mnataka kufanya lipi jipya kwenye kilimo?
mkuu Mimi sio chadema wala sio CCM ,mim sina chama, nimetumia Uhuru wangu kutoa maoni,is my right.

sasa kununua Boeing wakati kilimo kinasuasua,magonjwa yanaua watu wetu,wengine wanalala chin does it make sense to u?

hatusemi visifanyike but not right now coz bado sie maskini tuangalie urefu WA kambi yetu.

sio kuwa ukiwa CCM unapoteza rational thinking. hembu jaribu kutulia badala ya kuwa jingalao utakuwa tena sio jinga lao
 
Niyasemayo nikwakuwa katiba ya Tanzania inanipa mamlaka of free expression.

Kutumia mabilioni kununua Ndege,pia bilions zimetengwa kununua Boeing kule America sio kipaumbele kwa taifa kwa sasa.

Kujenga flyover ndani ya Daresalaam Na kutumia bilions sio kipaumbele chetu. kwanini masoko Na ofisi kuu zisihamishwe katika ya jiji Na kuwekwa pembezoni.

kujenga reli ya umeme Tanzania ni kutojua vipaumbele vya watanzania. si kwamba haifai Bali time yetu bado.

vipaumbele vya watanzania.

1)Kilimo.

Fedha zote zilizo nunulia ndege zingewekezwa kwenye kilimo, kwa kuwekeza kwenye benki Za wakulima,kuwekeza kilimo cha umwagiliaji,serikali kutumia taasisi kama jeshi,vyuo vya kilimo kufanya tafiti Za udongo Na mbegu,wadudu. pia kuwekeza kwenye pembejeo Za kilimo kama matrekta ya kulimia,kuvuna nk.

kilimo kimedharauliwa sana.

2)Elimu.

Serikali ilitakiwa iboreshe elimu hasa Veta,ijenge vyuo kila wilaya tupate wataalamu WA Kati Na Kati kwa ajili ya viwanda vidogo. pia iwekeze kwa vyuo vya kilimo tupate maafisa ugani WA kutosha.

pia elimu kwa vitendo kuanzia sekondari mpaka vyuo vikuu iboreshwe. nimesoma science udsm kwakweli lab ya chuo kikuu ni aibu, watu wanadesa tu km taifa litadharau quality ya elimu tutazani tunawasomi lakini incompetent.

3)Afya.

Serikali ilipaswa iwekeze kwenye afya. fikiria hata wewe, WAZAZI wanala chini,dawa hakuna,vifaa tiba vichache,gharama kubwa kwa magonjwa serious, kweli tujenge reli ya umeme?

4)Tuwekeze kwenye madini Na gesi asilia.

Uchumi wetu unakuwa boosted Na madini. je kama kule merererani kungejengwa viwanda vya Vito Na madini yale kuongezewa thamani.

pili kuwekeza ni pamoja Na kureview mikataba kwa kuiweka wazi hasa bungeni ikapitiwa upya.

tatu ni kuwekeza kwenye nishati ya umeme kupitia gesi asilia. umeme ndio determinant WA kila kitu Na ndio engine ya uchumi wowote. sasa unanunua sh500 unauza 200,halafu unahubiri Tanzania ya viwanda, are we serious.


nimetaja vipaumbele vichache Kati vingi ambavyo serikali ilipaswa ianze navyo kuinua mateso Na umaskini WA watu wetu.

assadsyria3
Soma hiyo link hapo chini kijana


Hotuba Ya Mheshimiwa Zitto Zuberi Kabwe Kuhusu Miundombinu Bungeni
 
mnasahau kuwa miundombinu ndio mama wa nyanja zote, hata angejikita kwenye kilimo je, hayo mazao yatasafirishwa kwa mbinu gani kwenda kwenye masoko?
kwa ushauri mzuri angeongezea pia juhudi kwenye afya na si kubeza ujenzi wa miundo mbinu mhimu kama madaraja ambayo ndiyo coordinating accessories za maeneo yote nchini.

amuka angalia mbali aiseee!!!
unazungumzia miundo mbinu ya reli ya umeme are u kidding?

aboreshe reli yetu uliopo lakin kutumia gharama kubwa kwa reli Za umeme ambapo tu Kenya wametuzidi kiuchumi wao ndio wangekuwa mwanzo WA kuwa Na reli ya umeme. believe Kenya pamoja Na uchumi mkubwa ndio wameanza kujenga reli ya standard gauge
 
Back
Top Bottom