Rais kuingilia utendaji wa NHC si sahihi

Kuingiza double standard kwenye utendaji huo tayari ni kuangusha bidii mpya ambazo ziliasisiwa ili kuleta mageuzi ya utendaji wa shirika hilo la umma.Hakika kwa picha hii HATUTAFIKA.[/QUOTE ndiyo maana nchi haiwezi kusonga mbele miaka 50 ya uhuru serikali haijui maana ya kulipia ankra zake kwa maendeleo ya shirika husika]
 
Rais Kikwete mmemkaa kooni, kila atachosema, atachofanya, atachofanya hata kama ni chema kwenu ni kibaya. Sababu zinajulikana wala msidhani hatuzijui, yanajirudia yaliyomkuta Mwinyi.
Nakumbuka Nyerere alikasirika baada ya Mwinyi Kumfukuza Mkurugenzi Wa Shirika la Nyumba miaka ile kisa Mkurugenzi aligoma kuongea na mke wa jamaa,

Yule mama yasemekana alikuwa anaitaka Nyumba fulani maeneno muhimu bila kufuata utaratibu kisa tu ni pumziko la Ruksa Alipoambiwa afuate utaratibu na amuite Mumewe aongee na si yeye, alminyima ile kitu usiku ruksa baada ya kutambua nini kilichomsababisha kunyimwa alipoamka mornie ni kutangaza kuondolewa kwa mkuu wa lile shirika

Nyerere akamwambia Ruksa Nchi haiwezi kuongonzwa kwa ushauri wa Mke wako...

Can't you behave Yourself!!!
 
Back
Top Bottom