Myanguneni
JF-Expert Member
- Oct 12, 2012
- 1,192
- 277
jina lako tuuu(MALISA) linatosha kumjulisha mtu kuhusu andiko lako kabla hata hajalisoma. vipi jamhuri ya kaskazini bado mnaendelea na mikakati ya kuiunda???
risala ya kikwete ni hotuba bora kabisa kwa vigezo vyoote na amewazima vibaya nyie wajinga mnaotaka mwanya ili mumsakame kuwa ametoa ahadi hewa. sisi tunasubiri chochote kitakachoamuliwa na wao tunaenda pamoja
Kikwete ni kigeugeu...
mtu atakaemuamini kikwete ktk maneno yake, atakuwa ni mtu wa ajabu sana....
Mimi nina swali: hivi haya mapendekezo yatapigiwa kura na wananchi au ndo imepita hivyo?
KIKWETE baba lao, kishawanyamazisha tayari, mliobaki ni mavuvuzela tu. Wengine tumeshamuelewa tunasubiri kumwaga kura za ndiyo kuikubali Katiba iliyopendekezwa
KIKWETE baba lao, kishawanyamazisha tayari, mliobaki ni mavuvuzela tu. Wengine tumeshamuelewa tunasubiri kumwaga kura za ndiyo kuikubali Katiba iliyopendekezwa
Malisa Godlisten, asante kwa uchambuzi makini umejitahidi na umeweza.
Ila kubwa ambalo umezunguka sana katika kulibainisha ni kwamba Rais wetu kwa hakika kabisa anasumbuliwa na kikubwa ambacho kwa kweli hawezi kukiepuka kwasababu ni asili tangu kuzaliwa kwake hivyo hata aende shule gani ya kujifunza ujasiri hawezi kufaulu tatizo hili linalomkabili. Tatizo kubwa kwa Presidentt wetu ni UDHAIFU,DHAIFU na UDHAIFU, hakuna kingine
Mtu ambaye haelewi anahitaji nini kwa wakati gani na kuhitaji kila kitu kwa wakati wote!! Huyo kwa asili ni Mdhaifu kwasababu anatamani kila kitu asichokuwa nacho na kutaka kufanya kila kitu asichokuwa na uwezo wa kukifanya sawia na hata wale wanaotaka kukifanya sawia hataki wakifanye. Anaishia kuvulunda kila mahali anakopita na kwasababu ya UDHAIFU wake haoni ajabu KUVURUGA hata lile alilokwisha VURUGA kwakuwa kila kitu yeye kinawezekana
BACK TANGANYIKA
Ukweli ni kuwa CCM hawawezi kukubali kura ipigwe kabla ya Uchaguzi kwa sababu kubwa mbili, kwanza, 1. wanajua wananchi hawajaridhishwa na huu mchakato na pia sasa hivi ukinzani ni mkubwa mno hata ndani ya chama kwenyewe, hivyo wanahitaji kuzua jambo jingine hapa kati kati ili kuhamisha public attention kutoka kwenye katiba kwenye huo upuuzi mwingine, tunaweza sikia rais anataka kupangua baraza la mawaziri (Lukuvi kesha lianzisha kwa Nyalandu), na sababu ya pili,2. hawana fedha ya kuhonga na kununua kadi za kupigia kura, hivyo they need time kukwapua fedha za kufanikisha uharamia wao.
CC Malisa Godlisten
Mimi nina swali: hivi haya mapendekezo yatapigiwa kura na wananchi au ndo imepita hivyo?
KIKWETE baba lao, kishawanyamazisha tayari, mliobaki ni mavuvuzela tu. Wengine tumeshamuelewa tunasubiri kumwaga kura za ndiyo kuikubali Katiba iliyopendekezwa