Rais Kikwete aenda Uswisi

Ni kitu kizuri tu.
Ninachojiuliza, inawezekana aliyemteua kufanya kazi hii hajui kama ni rais wa nchi!?
Nauliza hivi kwa maana wajumbe wengine ni wastaafu katika kazi walizokuwa wanafanya hivyo inaelekea hawana hata majukumu ya 'ukuu wa mkoa' huko kwao kulinganisha na RAIS anayetakiwa kila sekunde kuwaangalia wananchi wake!

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…