Rais aweza kuwa mwizi?


mkuu usipate taabu kwa jinsi alivyoandika huyu buku 7 inaonyesha ni mshirika na mnufaika. siku zao zinahesabika na zaidi rais wao mwiz anazidi kuwafumbua macho raia wa kawaida kubwa tusikate tamaa vita ya ukombozi iendelee mwaka jana wameonja joto la jiwe lilikuwa kubwa kweny serikal za mitaa UKAWA wamefanya uharibif mkubwa kwa ccm.
 

Asingiziwe mara ngapi? Kalagha bao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…