Rais anatakiwa awe mentally Na Physically Fiti

Rais anatakiwa awe mentally Na Physically Fiti

MkamaP

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2007
Posts
8,167
Reaction score
3,272
Kazi za kuajiriwa nyingi duniani kabla hujaanza kazi lazima ufanyiwe medical examination, ili wajiridhishe utafanya kazi vyema. Alicho kifanya Magafuli ndo inatakiwa kikubalike ktk jamii na waende mbali zaid ya kupima afya zao na kuwafanyisha mazoezi kulingana na job description zao.

Nafikiri wapimwe kutokana na description za kazi zao, mfano kuhutubia masaa, je anaweza simama masaa, je anafikiria vizuri ama vipi, nk. Na ningependelea iende mbali zaidi, rais anapokuwa mgonjwa kwa miezi sita mfululizo afutwe kazi. Maendeleo yanataka mtu mwenye afya njema zaidi.

Angalia hawa ndo maana wanahimili mikiki kiki ya dunia.
https://www.youtube.com/watch?t=30&v=f-It3dPiLjI
 
1.Job description- amri jeshi mkuu
Je anaweza kagua majeshi kwa kupiga gwaride nk?
 
nenda kwenye katiba usome kazi za rais na sifa zake, afu uje uandike upya
 
Health is a gift from GOD Almighty. If you wake up healthy, you should thank GOD Almighty and not mock others who are not feeling well. Good health should be considered as GOD's gift and grace, you should never mock others who are weak because by doing so, you will mocking GOD Almighty. Remember those who exalts themselves will be humbled. Thank GOD for good health and please don't mock others, GOD doesn't like that. Today you can be healthy and tomorrow you could simply drop down and die. Please don't mock GOD concerning health, rather thank HIM and pray for others who are not feeling well.
 
Kazi za kuajiriwa nyingi duniani kabla hujaanza kazi lazima ufanyiwe medical examination, ili wajiridhishe utafanya kazi vyema. Alicho kifanya Magafuli ndo inatakiwa kikubalike ktk jamii na waende mbali zaid ya kupima afya zao na kuwafanyisha mazoezi kulingana na job description zao.

Nafikiri wapimwe kutokana na description za kazi zao, mfano kuhutubia masaa, je anaweza simama masaa, je anafikiria vizuri ama vipi, nk. Na ningependelea iende mbali zaidi, rais anapokuwa mgonjwa kwa miezi sita mfululizo afutwe kazi. Maendeleo yanataka mtu mwenye afya njema zaidi.

Angalia hawa ndo maana wanahimili mikiki kiki ya dunia.
https://www.youtube.com/watch?t=30&v=f-It3dPiLjI

Yea, fiti kama JK alipokuwa akiingia...!!???
Ds tym ndio umetukaeh???
 
Kazi za kuajiriwa nyingi duniani kabla hujaanza kazi lazima ufanyiwe medical examination, ili wajiridhishe utafanya kazi vyema. Alicho kifanya Magafuli ndo inatakiwa kikubalike ktk jamii na waende mbali zaid ya kupima afya zao na kuwafanyisha mazoezi kulingana na job description zao.

Nafikiri wapimwe kutokana na description za kazi zao, mfano kuhutubia masaa, je anaweza simama masaa, je anafikiria vizuri ama vipi, nk. Na ningependelea iende mbali zaidi, rais anapokuwa mgonjwa kwa miezi sita mfululizo afutwe kazi. Maendeleo yanataka mtu mwenye afya njema zaidi.

Angalia hawa ndo maana wanahimili mikiki kiki ya dunia.
https://www.youtube.com/watch?t=30&v=f-It3dPiLjI

kikwete na tezi dume ilitakiwa aondolewe
 
Health is a gift from GOD Almighty. If you wake up healthy, you should thank GOD Almighty and not mock others who are not feeling well. Good health should be considered as GOD's gift and grace, you should never mock others who are weak because by doing so, you will mocking GOD Almighty. Remember those who exalts themselves will be humbled. Thank GOD for good health and please don't mock others, GOD doesn't like that. Today you can be healthy and tomorrow you could simply drop down and die. Please don't mock GOD concerning health, rather thank HIM and pray for others who are not feeling well.

Wewe wajua vyema ukiuugua mfululizo zaidi ya miezi 6, sehemu nyingi wanakuachisha kazi.
Tofautisheni tatizo la kiafya na ugonjwa. Na upofu ni tatizo latoka kwa Mungu, lakini pamoja na hilo huwezi mpa kipofu aendeshe bus.
 
makada wenzangu wa lumumba mwambieni mwenyekiti wetu mtarajiwa asipige push ups jukwaani kutafuta sifa za kijinga vile vibetry vinavyo pump moyo vtadondoka afu 2talaumiana wenyewe kwa wenyewe wafadhili awatoi misaada kwa kupga push up au uchumi aujengwi kwa push ups



imetolewa na mkuu wa kitengo cha IT masaki
 
makada wenzangu wa lumumba mwambieni mwenyekiti wetu mtarajiwa asipige push ups jukwaani kutafuta sifa za kijinga vile vibetry vinavyo pump moyo vtadondoka afu 2talaumiana wenyewe kwa wenyewe wafadhili awatoi misaada kwa kupga push up au uchumi aujengwi kwa push ups



imetolewa na mkuu wa kitengo cha IT masaki

Ndio maana nimependekeza wakapimwe wote. Ili vibetri vibainike kama yuko fiti kwa job ama lah
 
Huyo Magufuli ana Mentally fitness gani?
 
Watu inabidi watofautishe tatizo la kiafya ambalo linaenda mda mrefu na ugonjwa.
 
makada wenzangu wa lumumba mwambieni mwenyekiti wetu mtarajiwa asipige push ups jukwaani kutafuta sifa za kijinga vile vibetry vinavyo pump moyo vtadondoka afu 2talaumiana wenyewe kwa wenyewe wafadhili awatoi misaada kwa kupga push up au uchumi aujengwi kwa push ups



imetolewa na mkuu wa kitengo cha IT masaki

Hahahahaaa
 
nenda kwenye katiba usome kazi za rais na sifa zake, afu uje uandike upya
shost jamani naiogopa avatar yako!Kama ungeweza kubadili ningefurahi sana.
 
Last edited by a moderator:
Kazi za kuajiriwa nyingi duniani kabla hujaanza kazi lazima ufanyiwe medical examination, ili wajiridhishe utafanya kazi vyema. Alicho kifanya Magafuli ndo inatakiwa kikubalike ktk jamii na waende mbali zaid ya kupima afya zao na kuwafanyisha mazoezi kulingana na job description zao.

Nafikiri wapimwe kutokana na description za kazi zao, mfano kuhutubia masaa, je anaweza simama masaa, je anafikiria vizuri ama vipi, nk. Na ningependelea iende mbali zaidi, rais anapokuwa mgonjwa kwa miezi sita mfululizo afutwe kazi. Maendeleo yanataka mtu mwenye afya njema zaidi.

Angalia hawa ndo maana wanahimili mikiki kiki ya dunia.
https://www.youtube.com/watch?t=30&v=f-It3dPiLjI


Ww unazungumzia mentally na Physically fit,ukitaka kujua kama tuna hasira na hatuitaki CCM tuwekee jiwe au kalete fisi au punda uone jinsi vitakavyo izidi CCM kura tutavichagua kwa kishindo.

CCM KUZIKWA NI LAZIMA OKTOBA 25/2015 mpende msipende,lzm mpumzike.
 
Back
Top Bottom