VERITE-NUE
JF-Expert Member
- Jan 28, 2019
- 1,481
- 1,450
Ndayishimiye shawe,uyu musaraba wawikoreye wabitekerejeho pe.kuko wari ubiziko isake izabika Tshisekedi akwihakanye 3,ugatambagizwa imihanda,urushye mbere yuko AFC/M23 ikubamba kuri uwo musaraba w'isoni. Kanigire kurepeta kuri ADEPR nanjye batazanyihakana gatatu daa.
Rais wa Burundi alipoamua kubeba msaraba wake bila kushurutishwa. Alijua jogoo atawika, baada ya rais kipenzi mwenzie kumkana mara tatu. Akazunguushwa mitaa yote, akiwa amechoka, kabla AFC/M23 haijamsurubu. Ngoja nijiendee mazoezini nisubilie kinachoenda kutokea katika ile milima iliyopo karibu na mji wa Uvira(mji huu upo langoni mwa jiji la Bujumbura).
Rais wa Burundi alipoamua kubeba msaraba wake bila kushurutishwa. Alijua jogoo atawika, baada ya rais kipenzi mwenzie kumkana mara tatu. Akazunguushwa mitaa yote, akiwa amechoka, kabla AFC/M23 haijamsurubu. Ngoja nijiendee mazoezini nisubilie kinachoenda kutokea katika ile milima iliyopo karibu na mji wa Uvira(mji huu upo langoni mwa jiji la Bujumbura).