Rais Ali Bongo wa Gabon aliasiliwa kutoka Nigeria, hakuwa mtoto wa damu wa Rais Omar Bongo

mwanamwana

JF-Expert Member
Aug 1, 2011
1,076
4,113
Kumekuwa na utata mwingi kuhusu utaifa wa Rais wa Gabon wa sasa Ali Bongo Ondimba. Hapo awali wanasiasa nchini mwake walimtaka Rais huyo kuwasilisha kipimo cha DNA ili kuthibitisha kuwa kweli yeye ni mtoto wa marehemu Rais wa nchi hiyo Omar Bongo Ondimba. Inadaiwa Rais Ali Bongo Ondimba alikataa kufanya vipimo hivyo.

Madai haya yalikuja baada ya mwandishi wa insha Mfaransa na mtaalamu wa Gabon, Pierre Pean kuandika katika kitabu chake kiitwacho "New African Affairs" kwamba rais wa Gabon ana asili ya Nigeria.

Mwandishi huyo anadai kuwa babake rais, Rais wa zamani Omar Bongo alimleta Ali Bongo kutoka Biafra wakati wa vita vya wenyewe kwa wenyewe vya Nigeria.

Kuna picha imekuwa ikisambaa katika mitandao ya kijamii ikimuonesha Rais Ali Bongo Ondimba akiwa katika mazingira duni na afya duni akionekana kuwa na utapiamlo.

Ondimba.png

Picha/Maelezo: Anayedaiwa kuwa Rais Ali Bongo aliyezungushiwa kiduara akiwa kwenye kituo cha watoto yatima kabla ya kuasiliwa na Hayati Omar Bongo
 
Rais Bongo... Kuna somo kubwa sana anawapa viongozi na wa Africa!
Aliwania urais kwa awamu ya tatu... Uchaguzi uligubikwa na uchakachuaji uliopitiliza!
Akazima internet na mitandao ya kijamii...
Akapiga marufuku maandamano!
Akajitangaza mshindi wa kiti cha urais!
Jeshi likampindua!
Ajabu... Jeshi lilipowasha internet na mitandao ya kijamii akajirekodi kupaza sauti kuwaomba wananchi wa Gabon na jumuiya ya kimataifa kumsaidia!

NB: Kumbe hata wataalamu yakiwafika maji ya shingo wanawaangukia wananchi!

Yaendayo yanarudi!

Screenshot_20230901-032554.png
 
Rais Bongo... Kuna somo kubwa sana anawapa viongozi na wa Africa!
Aliwania urais kwa awamu ya tatu... Uchaguzi uligubikwa na uchakachuaji uliopitiliza!
Akazima internet na mitandao ya kijamii...
Akapiga marufuku maandamano!
Akajitangaza mshindi wa kiti cha urais!
Jeshi likampindua!
Ajabu... Jeshi lilipowasha internet na mitandao ya kijamii akajirekodi kupaza sauti kuwaomba wananchi wa Gabon na jumuiya ya kimataifa kumsaidia!

Yaendayo yanarudi!
Na Mchuma janga hula na wa kwao
 
Uongo mtupu...Ni mtoto wa Kwanza wa kiume toka Kwa Mama yake ambaye aliwahi kuwa first lady wa Gabon Mrs Maria Bongo...Alivyotalikiwa akawa mwanamuziki akijulikana Kwa jina la jukwaani Patience Dabany(katazame YouTube)
 
Kumekuwa na utata mwingi kuhusu utaifa wa Rais wa Gabon wa sasa Ali Bongo Ondimba. Hapo awali wanasiasa nchini mwake walimtaka Rais huyo kuwasilisha kipimo cha DNA ili kuthibitisha kuwa kweli yeye ni mtoto wa marehemu Rais wa nchi hiyo Omar Bongo Ondimba. Inadaiwa Rais Ali Bongo Ondimba alikataa kufanya vipimo hivyo.

Madai haya yalikuja baada ya mwandishi wa insha Mfaransa na mtaalamu wa Gabon, Pierre Pean kuandika katika kitabu chake kiitwacho "New African Affairs" kwamba rais wa Gabon ana asili ya Nigeria.

Mwandishi huyo anadai kuwa babake rais, Rais wa zamani Omar Bongo alimleta Ali Bongo kutoka Biafra wakati wa vita vya wenyewe kwa wenyewe vya Nigeria.

Kuna picha imekuwa ikisambaa katika mitandao ya kijamii ikimuonesha Rais Ali Bongo Ondimba akiwa katika mazingira duni na afya duni akionekana kuwa na utapiamlo.

View attachment 2704866
Picha/Maelezo: Anayedaiwa kuwa Rais Ali Bongo aliyezungushiwa kiduara akiwa kwenye kituo cha watoto yatima kabla ya kuasiliwa na Hayati Omar Bongo
Uongo huu,Ali ni mtoto wa Omar Bongo. Unajua Omar aliacha watoto zaidi ya 50 ambao aliwajua.Ikute hata aliacha watoto zaidi ya hao.
Omar alikuwa na wanawake zaidi ya 30.
 
Uongo mtupu...Ni mtoto wa Kwanza wa kiume toka Kwa Mama yake ambaye aliwahi kuwa first lady wa Gabon Mrs Maria Bongo...Alivyotalikiwa akawa mwanamuziki akijulikana Kwa jina la jukwaani Patience Dabany(katazame YouTube)
Niliwahi kuona makala haya kuwa Bongo sio Mtoto wa Mzee Bongo. Wewe umedanganya. Makala hayo yanadai Mzee Bongo alimtoa Binti kijijini akiwa na mimba changa bila kujua. Siri hii aliivujisha mkewe Bongo. Na Ndoa ikavunjika akabaki na Mtoto kwa kuwa kitanda........................ Haramu.

Sina uhakika Kama Mzee Bongo alikuwa na kizazi au Kijana Bongo kuwa na wadogo zake. Kweli Mungu hakupi vyote.
 
Niliwahi kuona makala haya kuwa Bongo sio Mtoto wa Mzee Bongo. Wewe umedanganya. Makala hayo yanadai Mzee Bongo alimtoa Binti kijijini akiwa na mimba changa bila kujua. Siri hii aliivujisha mkewe Bongo. Na Ndoa ikavunjika akabaki na Mtoto kwa kuwa kitanda........................ Haramu.

Sina uhakika Kama Mzee Bongo alikuwa na kizazi au Kijana Bongo kuwa na wadogo zake. Kweli Mungu hakupi vyote.

Niliwahi kuona makala haya kuwa Bongo sio Mtoto wa Mzee Bongo. Wewe umedanganya. Makala hayo yanadai Mzee Bongo alimtoa Binti kijijini akiwa na mimba changa bila kujua. Siri hii aliivujisha mkewe Bongo. Na Ndoa ikavunjika akabaki na Mtoto kwa kuwa kitanda........................ Haramu.

Sina uhakika Kama Mzee Bongo alikuwa na kizazi au Kijana Bongo kuwa na wadogo zake. Kweli Mungu hakupi vyote.
Kama huna uhakika huna sababu ya kuandika,ingia kwenye Google,kama unajua kifaransa utajifunza mengi ya Gabon
 
Kumekuwa na utata mwingi kuhusu utaifa wa Rais wa Gabon wa sasa Ali Bongo Ondimba. Hapo awali wanasiasa nchini mwake walimtaka Rais huyo kuwasilisha kipimo cha DNA ili kuthibitisha kuwa kweli yeye ni mtoto wa marehemu Rais wa nchi hiyo Omar Bongo Ondimba. Inadaiwa Rais Ali Bongo Ondimba alikataa kufanya vipimo hivyo.

Madai haya yalikuja baada ya mwandishi wa insha Mfaransa na mtaalamu wa Gabon, Pierre Pean kuandika katika kitabu chake kiitwacho "New African Affairs" kwamba rais wa Gabon ana asili ya Nigeria.

Mwandishi huyo anadai kuwa babake rais, Rais wa zamani Omar Bongo alimleta Ali Bongo kutoka Biafra wakati wa vita vya wenyewe kwa wenyewe vya Nigeria.

Kuna picha imekuwa ikisambaa katika mitandao ya kijamii ikimuonesha Rais Ali Bongo Ondimba akiwa katika mazingira duni na afya duni akionekana kuwa na utapiamlo.

View attachment 2704866
Picha/Maelezo: Anayedaiwa kuwa Rais Ali Bongo aliyezungushiwa kiduara akiwa kwenye kituo cha watoto yatima kabla ya kuasiliwa na Hayati Omar Bongo
Lakini sote ni waafrika... Ya mfaransa ana mfaransa ana kwambia muafrika mwenzako sio nduguyo na wewe wakubali? Mbona wenyewe hawafanyiani hivyo?

Yaani Sawa Sawa na kwamba unaishi na ndugu zako eneo moja nyumba tofauti afu anakuja mgeni anakwambia wale sio nduguzo, sababu eti hawaishi nyumba moja na wewe! Hiyo akili kweli?

Labda wawe na sababu nyingine ya kumkataa, lakini sio hiyo....
 
Uongo mtupu...Ni mtoto wa Kwanza wa kiume toka Kwa Mama yake ambaye aliwahi kuwa first lady wa Gabon Mrs Maria Bongo...Alivyotalikiwa akawa mwanamuziki akijulikana Kwa jina la jukwaani Patience Dabany(katazame YouTube)
Sio uongo,Bali alichosema mleata mada ni kile anachokifahamu.
Uongo ni kubadilisha ukweli kua kinyume kwa makusudi.nadhani mtoa mada hakufanya hivyo
 
Back
Top Bottom