Hakuna cha kuchanjia dawa mkuu,, ni hekima na busara tu ndizo zinafanya kazi!! Mvi za huyo mzee zinaonesha busara na hekima, lakini cha ajabu kuna mengine yameota mvi mpaka kwenye ndevu lakini busara ni "zero" (hiyo "0" isome kiswahali kama anavyotamka mkulu).
Lowassa ni chaguo la Mungu, kwenye sauti ya Lowassa ndipo Mungu hunena na watu wake, its matter of just time, mtakuja kuona, yote hutokea kwa makusudi ya Mungu
Kenyatta ameonyesha uwezo mzuri katika uongozi wake, changamoto iliyoko i think ni Ufisadi kidogo na Terrorist ambao walitaka kumuaribia utawala wake so he deserve to take over again. Lakin bado namshangaa mzee Lowasa kuwa na ushawishi hata kwa siasa za nje. Nafikir ni role model kwa politician