Martha Karua, Jeremiah Kioni, Kalonzo Musyoka, Eugine wamalwa, Opiya wandayi etc. waliongoza maandamano sehemu gani? zaidi ya Edwin Sifuna kujipachika dakika kadhaa kwenye kundi la waandamanaji hakuna kiongozi yeyote wa Azimio aliejitokeza katika maandamano. Raila apumzike