Hao ni wa zamani wala sio wa leo, ni miongoni mwa vikundi vinavyoform hilo kundi la mayimayi (Majimaji), hao jamaa wa Raia Mtomboki wapo zaidi maeneo ya Bukavu na kuendelea north kIvukundi la pili kubwa na hao majimaji ni la JEan KUtumba, ambalo liko zaidi maeneo sOuth kivu na MAniemamalengo hasa ya hayo makundi ya MAyimayi ni kuikomboa East Congo kutoka kwa Rwanda