Masikini_Jeuri
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 6,829
- 1,296
Who ever sent an alert to Mag Chuwa by sms MUST be punished and not only by removing him/her from the post but should be banished in her/his rural village with conditions. It is very clear that the responsible minister is trying to undermine the good deeds of Dr Magufuli and the honorable Premier! those who advised and supervised the demolition of houses without prior warning and arranging for temporary shelters for the victims also fall under the same category of working against the president.
wakati hizo meter zinanunuliwa, zinafungwa na kusitishwa matumizi yake waziri wa nishati alikuwa nani?......
Hakuna kitu kama hicho. Ni utetezi mwepesi na kutafuta namna ya kusafisha wahusikaPanua uwezo wa kufikiri. Kwa nini tusifikiri ulikuwa mtego kuthibitisha kama mita hizo zilikuwa mbovu au nzima kama ripoti zikivyoeleza. Kumbe ni nzima kabisa, zikafanya kazi kwa sms!!!!
TAFAKARI CHUKUA HATUA
Ni chuki isiyo na busara kwa wahusikaHakuna kitu kama hicho. Ni utetezi mwepesi na kutafuta namna ya kusafisha wahusika
wakati hizo meter zinanunuliwa, zinafungwa na kusitishwa matumizi yake waziri wa nishati alikuwa nani?......
Serikali ina njia rasmi za mawasiliano na hiyo ya SMS haipo na wala si rasmi !Mkuu mawasiliano ya sms si mapya. Kutuma sms si dhambi ya kumfukuza mtu, hata kama uko nje ya mawasiliano rasmi. Siku hizi ofisi zina Whatsapp Group ambazo wanatumiana matangazo na taarifa mbalimbali, sio rasmi lakini taarifa zinafika haraka.
Hili jambo nalifananisha na kiranja wa shule kumtaarifu kiranja wa darasa kwamba kesho mwalimu mkuu anakuja kufanya ukaguzi fulani. Ni hiari yako kufanya au kutofanya. Kesho mwalimu mkuu ukija, ukionekana na makosa usioneshe ulikuwa na mawasiliano na kiranja wa shule, maana alikufanyia favour, lakini hujabebeka.
Kama mtu alitaka ufanye jambo jema akakutumia sms, si mbaya ukamsitiri. Je, unadhani sms isingetumwa nani angeonekana hawezi kazi? Muhongo au huyo Mama? Bila shaka Muhongo haguswi hata chembe.
Huyu waziri alikua anaujua uozo ulioko Bandarini. Ni kwanini amuandae huyo mtendaji mkuu wakala wa vipimo? Huyu waziri ni miongoni mwa mawaziri wanaomhujumu Rais Magufuli! Hii ni aibu kubwa kwa mtu mwenye dhamana kubwa kama waziri na hii ni kukosa uaminifu katika kazi za umma.
Hii tabia inatakiwa ikomeshwe mara moja na wengine wajifunze, Waziri mkuu anwajibishe huyu waziri aliyetuma hiyo sms! Maana idingetumwa hiyo sms pengine hali ingekutwa mbaya zaidi na Waziri mkuu kuijua hali halisi ya mazingiza haya.
Nadhani waziri mkuu mwenyewe amejionea na amesikika jinsi snavyohujumiwa na wenzake wazi wazi! sasa achukue hatua mara moja.Hizo flowmetres zingine inamaana isingetumwa sms zote zingekutwa zimegandiana kutu hapo.
Tuliposema aondoe kabisa kizazi cha JK tuliyajua haya yote, samaki mmoja akioza kapu zima limeoza
Walitumia kijitu na makadirio.Mi nashindwa kupata jibu hivi siku zote walikua wanapima kwa kutumia nini au walikua wanakadilia
Kama si February atakuwa March.atakuwa february huyo..huyu bado ana hasira za kuukosa uprime minister