kitalolo
JF-Expert Member
- Dec 4, 2006
- 1,827
- 708
mwandishi: muheshimiwa umaweza kutuambia kwanini nchi yako ni maskini?
rahisi: hata mimh nashangaa na sijuh kwanini nchi yangu ni maskini.
mwandishi: je mh. unaweza kutuambia kwanini vijana wa kidato cha nne wamefeli sana mwaka huu.
rahisi: unaniuliza hilo swali kwani mimi waziri wa elimu? we mwandishi wa ajabu kabisa mimi mwenyewe mtoto wangu alifeli mwaka jana mkamcheka sasa mlitaka wakwenu wafaulu muendele kumcheka mwanangu hivyo mjue serekali inafanyia kazi kicheko chenu dhidi ya mwanangu
mwandishi: mh na unazumgumziaje kuhusu wanafunzi waliopata mimba
rahisi: hicho ni kiherehere chao kwani hawaonagi matangazo ya kondomu
mwandishi: mh unazunumziaje swala la udini linalojitokeza hapa nchini?
rahisi: aha ilo kwakweli serekali inalishughulikha na kwa kuanza mmeona wenyewe tumelifungia gazeti la mwanahalisi na nikuambie tu tutayafungia magazeti yote yenye kueneza udini nchini sasa tumepata msaada mkubwa kutoka marekani watawatuma cia
rahisi: hata mimh nashangaa na sijuh kwanini nchi yangu ni maskini.
mwandishi: je mh. unaweza kutuambia kwanini vijana wa kidato cha nne wamefeli sana mwaka huu.
rahisi: unaniuliza hilo swali kwani mimi waziri wa elimu? we mwandishi wa ajabu kabisa mimi mwenyewe mtoto wangu alifeli mwaka jana mkamcheka sasa mlitaka wakwenu wafaulu muendele kumcheka mwanangu hivyo mjue serekali inafanyia kazi kicheko chenu dhidi ya mwanangu
mwandishi: mh na unazumgumziaje kuhusu wanafunzi waliopata mimba
rahisi: hicho ni kiherehere chao kwani hawaonagi matangazo ya kondomu
mwandishi: mh unazunumziaje swala la udini linalojitokeza hapa nchini?
rahisi: aha ilo kwakweli serekali inalishughulikha na kwa kuanza mmeona wenyewe tumelifungia gazeti la mwanahalisi na nikuambie tu tutayafungia magazeti yote yenye kueneza udini nchini sasa tumepata msaada mkubwa kutoka marekani watawatuma cia