habariyamujini
JF-Expert Member
- May 16, 2013
- 3,094
- 457
Jukwaa linafaa kabisa simba nao wanajitakia huyo ni mtu gani? mimi ninafikiaga kusema wanachama wa Simba na wapiga kura wa Tabora mjini wote akili zao ziko matakoni Rage ni mtu gani wa kumchagua kuwa kiongozi?
Kufuatia kikao kilichokuwa kikiendelea kakika Club ya Simba maamuzi yamefikiwa ikiwa ni pamoja na kumsimamisha Mwenyekiti Aden Rage katika nafasi yake kwa kwenda kinyume na kanuni na taratibu za uongozi.
Chanzo. ITV.
Mods ondoa huu uozo! This is a political forum! It should remain to be the same unless other wise!
Sasa mambo ya Simba wapi na wapi?
Fatilia historia yake,kwa sasa anatembea waziwazi na vitu vya mlipuko...Huwa najiuliza sana, hivi mnapochangia kwa matusi mazitomazito kama hayo huwa hamuamini wazazi,wadogo zenu hata viongozi wa dini zenu hawasomi hizi topic. Wana Simba onyesheni kama watu wakomavu japo kidogo. Alshaab inahusiana vipi na Rage?