Mentor
JF-Expert Member
- Oct 14, 2008
- 20,334
- 23,940
Rafiki yangu
Wakati nikiendelea kutafakari mustakabali wa mdogo wangu wa mwisho ambaye tayari ameshakwenda Form five na kusahau machungu ya matokeo yao halafu wanaambiwa mitihani imefutwa itasahihishwa tena.
Nilijua si wote waliofeli ni kwa sababu ya maisha ya siku hizi ya watoto kuwa facebook muda wa vipindi kwani yeye namfahamu sana. Anapenda kusoma sana ila matokeo yale hayakuwa sahihi .anyway, hilo si la leo bado nalitafakari.
Katika tafakuri zangu nikajikuta nimefika MUHAS...famously known as MUHIMBILI. Hapo napo kuna mdogo wangu ( Asnam) yuko mwaka wa nne pale akisoma shahada yake ya kwanza ya udaktari.
Basi tukatoka for lunch and while there ndipo aliponielezea story ya rafiki yangu KakaKiiza..hata sijui kama bado nastahili kumuita rafiki.
[B KakaKiiza na Mentor
[/B]
Mimi na KakaKiiza tumetoka mbali. Kwanza tulikuwa majirani hivyo michezo ya utotoni tuliicheza pamoja. Tumesoma wote tangu Olevel kule Agape Lutheran Junior Seminary..tukarudia wote mitihani ile ya 1998. Nakumbuka walikuwa wakiniita MCHUNGAJI. We were still friends mpaka Alevel tukaenda wote Moshi Sec. We were still buddies tukapangiwa wote chuo yeye akaenda UDSM kusoma BCOM mimi Ardhi University kusoma Architecture. He used to come home na akawa anafahamika. Wadogo zangu wote walikuwa wanamheshimu na kumpenda kama kaka.
Baada ya hapo mi nkaenda zangu Dodoma kufanya kazi nayeye akarudi Moshi kuendelea na biashara za wazazi wake.
September 2010
Mwaka huu KakaKiiza alijiunga na Masters program tena palepale UDSM. So kama family friend nkamwambia afadhali upo Dar kuna mdogo wangu yupo Muhimbili utakuwa unamcheki na yeye ajisikie kama ana kaka. Akakubali.
So nikampa namba za simu za mdogo wangu woe unto me!!!!
Fast forward to Friday, 2[SUP]nd[/SUP] May 2013
Nimekuja Dar kufuatilia kitabu changu ninachoandika na kukifanyia printing pale UDSM Printing Press. So nikampigia mdogo wangu simu kama yupo free. Akaniambia ndo ametoka cadaver practical na hana tenda kipindi. Nikamwambia nampitia anisindikize UDSM.
Safari yetu baada ya kumaliza kufuatilia kitabu na logistics zingine ikatufikisha Brajec kula. Ni hapo ndipo aliponipa stori ya KakaKiiza, my friend.
Ilianza kwa kumpigia simu usiku na kumtumia vocha. Asnam akaona ni jambo la kawaida..si ni kaka kanitumia? Siku nyingine anakuja kumsalimia Muhimbili pale anamuuliza kama ameshakula au bado. Mara nyingi alikuwa akimwambia ameshakula hasa kwa sababu ya ratiba ngumu ya shule asingeweza kutoka. Maana kila weekend KakaKiiza alikuwa anakuja kumsalimia..what a brother!!!!!!!!!
Siku moja weekend kama kawa KakaKiiza akaja kumsalimia halafu akamuuliza kama ameshakula nay eye akasema bado. Akamwambia twende tukale. Akaingia kwenye gari haooooo kushtukia yuko Sinza bar si bar Kelele..pombe nyingi hakuna chakula kuna nyama tu..ikabidi waagize tu nyama. Eventhough dogo anasema alikuwa na njaa kweli.
Shida ikaja kwenye drinks. KakaKiiza akaagiza Safari zake na mdogo wangu akaagiza Sprite. Mhh..akaanza kumlazimisha anywe hata amarula sijui na nini. Hapo ndo dogo akashtukia ameingia mkenge leo. Lakini huyu si ni kaka yetu jamani? Mbona anageuka tena? Mara hataki kukaa mbali nay eye so akasogeza kiti karibu yake. Mara aweke mkono wake begani mwake..aah alimradi shida tupu. Muda unazidi kukatika.. KakaKiiza anazidi kulewa..nyama haziji..kelele njaa na usumbufu wa kakakiiza.
Ngoja nijiweke kwenye viatu vyake kwanza niendelee kuhadithia kuanzia sasa Asnam (mdogo wangu) ndo anahadithia
Alikuwa na ki-pimple chini ya kidevu halafu kwanza alikuwa ameshakipasua. Akaniambia nikipasue. Nikamwambia angoje kiive tena ndo akipasue akikipasua tena kitakuwa kidonda. Mara ananinganganiza nikipasue. Akamwita na waiter amletee tissue. WTH..nikamwambia KakaKiiza unapoteza muda wako tu siwezi kufanya kitu kama hicho.
Nikaona hapa ameshaanza kulewa hatutaelewana. Nikamwambia anirudishe chuo. Na nikamwambia, KakaKiiza, Next time you want to take me out, dont bring me to such places. I hate noisy places and I prefer real food Akasema, I know the right place. Tukaondoka ikabidi nibebe nyama zangu bila kuzila.
Kwa sababu ya giza lile sikujua tunaenda wapi ila nkashtuka tupo outside Makumbusho. Nilikasiirika sana yani nikamwambia nataka kwenda chuo sio hapa. Eti akashuka kwenye gari akaenda kula minyama yake nje. Mi nkabaki ndani namuangalia tu anavyokula vibaya kama nguruwe. Kwanza hajanawa..anashika nyama na limkono lote..yani alinkera sana ile siku.
Akaingia ndani ya gari na mamikono yake michafu anaendesha huku anataka kunishika mkono..yuuuuuuck!!! yani ikabidi nijifanye kila saa niko kwenye simu tena nimeishika na mikono yote ili tu asinshike.
Akanirudisha chuo..nikashuka haraka sana tena wala hata sikumuambia asante wala nini. Nilimshusha hadhi sana ile siku. Nakumbuka neno lake la mwisho ile siku lilikuwa, Dogo nimeupenda msimamo wako Na tangu ile siku hajawahi kunipigia wala nini.
Ndo marafiki zako hao .
Wasalaam wapendwa,
Mentor.
Wakati nikiendelea kutafakari mustakabali wa mdogo wangu wa mwisho ambaye tayari ameshakwenda Form five na kusahau machungu ya matokeo yao halafu wanaambiwa mitihani imefutwa itasahihishwa tena.
Nilijua si wote waliofeli ni kwa sababu ya maisha ya siku hizi ya watoto kuwa facebook muda wa vipindi kwani yeye namfahamu sana. Anapenda kusoma sana ila matokeo yale hayakuwa sahihi .anyway, hilo si la leo bado nalitafakari.
Katika tafakuri zangu nikajikuta nimefika MUHAS...famously known as MUHIMBILI. Hapo napo kuna mdogo wangu ( Asnam) yuko mwaka wa nne pale akisoma shahada yake ya kwanza ya udaktari.
Basi tukatoka for lunch and while there ndipo aliponielezea story ya rafiki yangu KakaKiiza..hata sijui kama bado nastahili kumuita rafiki.
[B KakaKiiza na Mentor
[/B]
Mimi na KakaKiiza tumetoka mbali. Kwanza tulikuwa majirani hivyo michezo ya utotoni tuliicheza pamoja. Tumesoma wote tangu Olevel kule Agape Lutheran Junior Seminary..tukarudia wote mitihani ile ya 1998. Nakumbuka walikuwa wakiniita MCHUNGAJI. We were still friends mpaka Alevel tukaenda wote Moshi Sec. We were still buddies tukapangiwa wote chuo yeye akaenda UDSM kusoma BCOM mimi Ardhi University kusoma Architecture. He used to come home na akawa anafahamika. Wadogo zangu wote walikuwa wanamheshimu na kumpenda kama kaka.
Baada ya hapo mi nkaenda zangu Dodoma kufanya kazi nayeye akarudi Moshi kuendelea na biashara za wazazi wake.
September 2010
Mwaka huu KakaKiiza alijiunga na Masters program tena palepale UDSM. So kama family friend nkamwambia afadhali upo Dar kuna mdogo wangu yupo Muhimbili utakuwa unamcheki na yeye ajisikie kama ana kaka. Akakubali.
So nikampa namba za simu za mdogo wangu woe unto me!!!!
Fast forward to Friday, 2[SUP]nd[/SUP] May 2013
Nimekuja Dar kufuatilia kitabu changu ninachoandika na kukifanyia printing pale UDSM Printing Press. So nikampigia mdogo wangu simu kama yupo free. Akaniambia ndo ametoka cadaver practical na hana tenda kipindi. Nikamwambia nampitia anisindikize UDSM.
Safari yetu baada ya kumaliza kufuatilia kitabu na logistics zingine ikatufikisha Brajec kula. Ni hapo ndipo aliponipa stori ya KakaKiiza, my friend.
Ilianza kwa kumpigia simu usiku na kumtumia vocha. Asnam akaona ni jambo la kawaida..si ni kaka kanitumia? Siku nyingine anakuja kumsalimia Muhimbili pale anamuuliza kama ameshakula au bado. Mara nyingi alikuwa akimwambia ameshakula hasa kwa sababu ya ratiba ngumu ya shule asingeweza kutoka. Maana kila weekend KakaKiiza alikuwa anakuja kumsalimia..what a brother!!!!!!!!!
Siku moja weekend kama kawa KakaKiiza akaja kumsalimia halafu akamuuliza kama ameshakula nay eye akasema bado. Akamwambia twende tukale. Akaingia kwenye gari haooooo kushtukia yuko Sinza bar si bar Kelele..pombe nyingi hakuna chakula kuna nyama tu..ikabidi waagize tu nyama. Eventhough dogo anasema alikuwa na njaa kweli.
Shida ikaja kwenye drinks. KakaKiiza akaagiza Safari zake na mdogo wangu akaagiza Sprite. Mhh..akaanza kumlazimisha anywe hata amarula sijui na nini. Hapo ndo dogo akashtukia ameingia mkenge leo. Lakini huyu si ni kaka yetu jamani? Mbona anageuka tena? Mara hataki kukaa mbali nay eye so akasogeza kiti karibu yake. Mara aweke mkono wake begani mwake..aah alimradi shida tupu. Muda unazidi kukatika.. KakaKiiza anazidi kulewa..nyama haziji..kelele njaa na usumbufu wa kakakiiza.
Ngoja nijiweke kwenye viatu vyake kwanza niendelee kuhadithia kuanzia sasa Asnam (mdogo wangu) ndo anahadithia
Alikuwa na ki-pimple chini ya kidevu halafu kwanza alikuwa ameshakipasua. Akaniambia nikipasue. Nikamwambia angoje kiive tena ndo akipasue akikipasua tena kitakuwa kidonda. Mara ananinganganiza nikipasue. Akamwita na waiter amletee tissue. WTH..nikamwambia KakaKiiza unapoteza muda wako tu siwezi kufanya kitu kama hicho.
Nikaona hapa ameshaanza kulewa hatutaelewana. Nikamwambia anirudishe chuo. Na nikamwambia, KakaKiiza, Next time you want to take me out, dont bring me to such places. I hate noisy places and I prefer real food Akasema, I know the right place. Tukaondoka ikabidi nibebe nyama zangu bila kuzila.
Kwa sababu ya giza lile sikujua tunaenda wapi ila nkashtuka tupo outside Makumbusho. Nilikasiirika sana yani nikamwambia nataka kwenda chuo sio hapa. Eti akashuka kwenye gari akaenda kula minyama yake nje. Mi nkabaki ndani namuangalia tu anavyokula vibaya kama nguruwe. Kwanza hajanawa..anashika nyama na limkono lote..yani alinkera sana ile siku.
Akaingia ndani ya gari na mamikono yake michafu anaendesha huku anataka kunishika mkono..yuuuuuuck!!! yani ikabidi nijifanye kila saa niko kwenye simu tena nimeishika na mikono yote ili tu asinshike.
Akanirudisha chuo..nikashuka haraka sana tena wala hata sikumuambia asante wala nini. Nilimshusha hadhi sana ile siku. Nakumbuka neno lake la mwisho ile siku lilikuwa, Dogo nimeupenda msimamo wako Na tangu ile siku hajawahi kunipigia wala nini.
Ndo marafiki zako hao .
Wasalaam wapendwa,
Mentor.
Last edited by a moderator: