dickdickinyo
Senior Member
- May 19, 2015
- 118
- 53
Kati ya member vichomi humu jf kwa sasa,Wewe umo.
Kaka yako Galadudu yuko Wapi?
Nina rafiki yangu ambaye amemuoa mtoto wa shangazi yangu lakini cha ajabu mke wake alimleta mdogo wake juzi kati rafiki yangu akamuhadaha kwa pesa na nimewafumania usiku was manane chooni wakilimega tunda la Adam.sasa najiuliza Huyu jamaa anaitakia ndoa yake mema kweli?wanawake wote hapa mjini hadi utembee na shemeji yako.Hii ni sawa kweli?
mind your own businesses
mda mwngne wanakuwa watamu sana,hata mimi nisingemchekea...Huyo jamaa hajielewi hivi inakiwaje unachanganya ndugu ili iweje sasa
Nina rafiki yangu ambaye amemuoa mtoto wa shangazi yangu lakini cha ajabu mke wake alimleta mdogo wake juzi kati rafiki yangu akamuhadaha kwa pesa na nimewafumania usiku was manane chooni wakilimega tunda la Adam.sasa najiuliza Huyu jamaa anaitakia ndoa yake mema kweli?wanawake wote hapa mjini hadi utembee na shemeji yako.Hii ni sawa kweli?
Wesley Pipes? Bingwa wa kuharibu scenes kwa maongezi ya ki-nigger. Never disappoints though!kizaz cha nyoka..