Rafiki yangu amenitapeli, nimfanyeje?

Rafiki yangu amenitapeli, nimfanyeje?

majeshii

Member
Joined
Dec 4, 2014
Posts
83
Reaction score
12
Wakuu kuna rafiki yangu mmoja jana ameondoka na PC yangu pamoja na hela laki 5, na hiyo ilikuwa kwa ajili ya chuo, akadai leo saa mbili asubuhi atarejesha, hadi sasa hajaleta afu hata simu haipatikani na inatakiwa nikabidhi kazi ya chuo leo, Naona anataka kulogwa!
 
Utaona Leo angalia taarifa ya SAA 2 ucku ITV utaona nilicho fanya
 
Huwezi kuua wewe ungekuwa unataka kuua usingeomba ushauri
 
Wakuu kunarafiki yangu mmoja Jana ameondoka na PC yangu pamoja na hela laki 5 nahiyo ilikuwa kwaajili ya chuo akadai Leo sambili asubuhi atarejesha hadi sasa hajaleta afu ata cm hapatikan nainatakiwa nikabidh kazi ya chuo Leo naona anataka kulogwa
Uchizi unaanza taaratibu!
 
Lengo lako ni kusoma, baada ya kuhitimu ujitegemee. Sasa ukiua unadhani mikono ya Serikali itakuacha? Je hilo lengo utalitimiza ukiwa Gerezani?
 
Mkuu weka picha zake na anwani tukusaidie kumtafuta, pia nenda polisi katoe taarifa.......
Wakuu kuna rafiki yangu mmoja jana ameondoka na PC yangu pamoja na hela laki 5, na hiyo ilikuwa kwa ajili ya chuo, akadai leo saa mbili asubuhi atarejesha, hadi sasa hajaleta afu hata simu haipatikani na inatakiwa nikabidhi kazi ya chuo leo, Naona anataka kulogwa!
 
Back
Top Bottom