Rafiki wa mchepuko wangu anataka kunioa


are you serious??? mwanamke gani hapa duniani hajaambiwa hayo maneno... kuna mawili, either huwajui kabisa wanaume au umeamua tu kuweka story siku iende.. unamuitaje mtu anayechepuka na mchepuko wa rafiki yake ni mtu mwenye busara..mmmmh
 
Wale mliozoea kutukana sihitaji comments zenu za matusi, muwe wastaarabu kwani hakuna asiejua kwamba kuna kuchepuka au kutembea na mke au mume wa mtu huwezi kushauri pita tu kwa ustaarabu.

kwahiyo unamchimba mkwara nani we mzinz.i????!
 
Anataka akulambe tu.. keshaona unafaa kuwa mchepuko...
 
Aaaaaaaaaaaaa Kumbe ndiyo maana siku hizi hunipi simu yako nione zile picha za apetite siyo kumbe umeanza kudate na Joh siyo? Sasa nasema hivi hapa hafi wala haolewi mtu na nakuja sasa hivi niandalie mambo yangu na nitalala hapo hapo... Kumbe diyo maana unamchangamkia sana yule bwna mdogo co?
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…