Rafiki wa kike

Rafiki wa kike

raia_mwema

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2012
Posts
479
Reaction score
314
Mimi ni kijana mwenye miaka 29, ni mtumishi wa uma. Elimu yangu ni shahada ya awali. Natafuta rafiki wa kike ambaye tutakuwa tunabadilishana mawazo na kushare mambo mbali mbali.

Mungu akipenda urafiki utapiga hatua zaidi napenda asizidi miaka 26.Pia awe mwenye hofu ya MUNGU.Mambo mengine tutafahamiana zaidi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom