Rafiki tu au na mambo yetu yamo?
Sasa si aweke wazi....Ha ha ha ha ha ha!
Yani amalize bundle lake bure halafu mambo yetu yasiwemo? Labda itokee atakayem-PM awe ni dada yake wa tumbo moja.
nipo hapa sikupm lakini rafiki hapa panatutosha eeh unaitwa nan? unafanya nini? unamiaka mingapi? umeoa? unampenz?
mimi naitwa elinasia ,,, nipo tu nyumbani sina kazi..... nina miaka 34.... bado sijaolewa na sina hata mpenzi... karibu rafiki
Eti anasema urafiki na vibibi vya nyumbani hawezi, [ata-upload dp gani wasapu?]
Eti anasema urafiki na vibibi vya nyumbani hawezi, [ata-upload dp gani wasapu?]