Rafiki then mke anatafutwa

Rafiki then mke anatafutwa

tamuuuuu

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2014
Posts
22,192
Reaction score
29,749
Rafiki yangu anatafuta rafiki then awe mke.Awe yupo Arusha,miaka 23-25,umbo la kawaida,mweupe.Yeye ni mwalimu ana BA.

Karibu
 
Silaha ya rafiki ako ni size gani?xl au xxl vigezo na masharti kuzingatiwa
 
Evelyn nimesoma naye huyo best,so undani huko ni mgumu ila kwa namna nimjuavyo he is strong kwani amewahi mimbisha chuo.
 
Rafiki yng anatafuta rafiki then awe mke.Awe yupo Arusha,miaka 23-25,umbo la kawaida,mweupe.Yeye ni mwalimu ana BA,karib

Aiseee wakudaaa hamuishii.... jukwaa pia sio hilii... kafiee mbalii hukooo ktk jukwaa husikaa
 
Evelyn nimesoma naye huyo best,so undani huko ni mgumu ila kwa namna nimjuavyo he is strong kwani amewahi mimbisha chuo.

Mimba kitu gani bana punda na sisimizi wote wanawapa wenzi wao mimba
sasa kwanini hajamuoa huyo aliezaa nae au alimpa tu ila hakuzaa?
 
 
Last edited by a moderator:
Wewe love more100 siwezi kukujibu,kwn nitapata ban.Mods watahamisha huu uzi acha kuwashwa,naweza kukujibu vibaya ukachiz
 
Evelyn mwenzenu alitoa,ingawa jamaa alikuwa tayari kwa kila kitu.Nadhani imeeleweka.
 
Evelyn mwenzenu alitoa,ingawa jamaa alikuwa tayari kwa kila kitu.Nadhani imeeleweka.

Haya poa, ila huyo jamaa yako too much
kutongoza live hawezi hata kutongoza kwenye keypad bado hajiwezi
mambo mengine ataweza kweli?eti shemeji ataweza?
 
Ndiyo serious,PM me niku-connect
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom