Naomben ushaur wenu jamani nifanye nini nina rafk angu kaniharibia kazi kwa maneno na hapa nafasi yangu ana kwenda kuichukua yeye na ni mtu ambae nlkua nikimsa idia sana nmechanganyikiwa natamani nmfanye kitu kibaya ila nikiwaza Mungu naamua kuacha tu
Naomben ushaur wenu jamani nifanye nini nina rafk angu kaniharibia kazi kwa maneno na hapa nafasi yangu ana kwenda kuichukua yeye na ni mtu ambae nlkua nikimsa idia sana nmechanganyikiwa natamani nmfanye kitu kibaya ila nikiwaza Mungu naamua kuacha tu
Naomben ushaur wenu jamani nifanye nini nina rafk angu kaniharibia kazi kwa maneno na hapa nafasi yangu ana kwenda kuichukua yeye na ni mtu ambae nlkua nikimsa idia sana nmechanganyikiwa natamani nmfanye kitu kibaya ila nikiwaza Mungu naamua kuacha tu
Naomben ushaur wenu jamani nifanye nini nina rafk angu kaniharibia kazi kwa maneno na hapa nafasi yangu ana kwenda kuichukua yeye na ni mtu ambae nlkua nikimsa idia sana nmechanganyikiwa natamani nmfanye kitu kibaya ila nikiwaza Mungu naamua kuacha tu
Rafiki yako ni mkeo na watoto wako tu wanaonufaika na uwepo wako direct,sisi wengine ni tararira tu.Usimfanye chochote,ila iwe kwako ni sehemu ya funzo.
Naomben ushaur wenu jamani nifanye nini nina rafk angu kaniharibia kazi kwa maneno na hapa nafasi yangu ana kwenda kuichukua yeye na ni mtu ambae nlkua nikimsa idia sana nmechanganyikiwa natamani nmfanye kitu kibaya ila nikiwaza Mungu naamua kuacha tu