JERUSALEMU
JF-Expert Member
- Sep 19, 2012
- 3,156
- 3,626
Kwa muda wa karibu majuma mawili sasa kituo hiki cha Radio kimekuwa kero kwa wasikilizaji wake kwani mitambo imekuwa ikikatika kila baada ya muda mfupi sana na hivyo kuathiri continuity ya habari.hivi najiuliza hawana mtu wa kusimamia ubora wa matangazo ya kituo chao? halafu siku hizi imekuwa ni kawaida mtangazaji wa kipindi kuchelewa zaidi ya dakika 10,unajiuliza hawa watu wako serious na kazi kweli? badilikeni msifanye kazi kwa maazoea be serious.