WanaJF kweli kuna uhakika haya mauti yalimfika huyu mpendwa wetu akiwa wa babu Loliondo? Na je tunauhakika ni Mtanzania au picha tuu ilipatikana kwenye mtandao fulan ikabandikwa hapa na kuhusishwa na loliondo ili kuitia dosari kazi ya babu? Mazingira ya kwa babu tungeona hata ule umati uliofurika kule hata kama ni usiku basi tungeona hata msururu wa magari dalili za kwamba hapa ni loliondo. Tunaomba mtoa maada aweke vielelezo na vyanzo vya habari ili tujiridhishe na habari hii kabla ya kuanza kuilaumu loliondo na mvua. mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema popeni. nawakilisha