Sam 2023
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 1,829
- 1,983
Habari wanajukwaa bila shaka mu wazima wa afya.
Leo nmekuja nabpemdekezo kwa vyama vya siasa kuachana na vitambulisho vya makaratasi na kuingia kwenye vitambulisho vya plastic (poly -vinyl chloride ID cards).
Pia ingependeza kama vitambulisho hivyo vikawa na teknolojia ya alama za vidole (biometrics) ili kama itawezekana viweze kutambuliwa na serikali hasa TCRA.
Napendekeza vyama vikubwa kama CCM, CHADEMA na ACT-Wazalendo vioneshe mfano wa kuleta hizi kadi.
Pia kadi hizi inaeza kua chanzo cha mapato kizuri tofauti na hivi vitambulisho vinavyoharibika vikiguswa na maji.
Natumaini nmeeleweka vizuri
Leo nmekuja nabpemdekezo kwa vyama vya siasa kuachana na vitambulisho vya makaratasi na kuingia kwenye vitambulisho vya plastic (poly -vinyl chloride ID cards).
Pia ingependeza kama vitambulisho hivyo vikawa na teknolojia ya alama za vidole (biometrics) ili kama itawezekana viweze kutambuliwa na serikali hasa TCRA.
Napendekeza vyama vikubwa kama CCM, CHADEMA na ACT-Wazalendo vioneshe mfano wa kuleta hizi kadi.
Pia kadi hizi inaeza kua chanzo cha mapato kizuri tofauti na hivi vitambulisho vinavyoharibika vikiguswa na maji.
Natumaini nmeeleweka vizuri