Putin Maji Shingoni, Alia na Mataifa ya Magharibi

Endeleeni kujidanganya!!...wenye akili ndo wanaelewa ukweli halisi
 
Vita isikie kwa jirani tu, nashangaa humu watu wavoshadadia
Pale gongolamboto Kuna mwaka yalilipuka mabomu ya JWTZ ...baadhi ya watanzania kwa hofu kubwa walikimbia Hadi Chalinze...sauti ya mlipuko wa mabomu hayo ni wa kawaida Sana, kuliko hayo ya hypersonic ya Russia...
Pale gongolamboto watu wengi walikimbia na kuacha watoto wao ambao baadaye walikusanywa pale uwanja wa taifa shamba la bibi na wazazi wakaja kuwatambua...
 
Sasa unataka kusema sio mbabe?
Kama sio mbabe kwanini PANYA ROAD na KUBWA LAO wamekua nao wapenzi watizamaji na watoa press release kila siku kinacho endelea Ukrain?
Kiufupi naona wamejitekenya wenyewe, zaidi wanaendelea kuongeza nguvu, 30 hawatoshi.
Aliyesema si mbabe nan, kila mbabe ana mbabe wake hiki ndicho kinachomkuta mbabe Putin
 
C ana mshkaji wake yule naniliu anae penda mazali kama hayo, au hataki kumshilikisha
 
Unaondoka saa ngapi Jamiiforums?
 
Teh teh teh Pro Russia mshapoteana
Kwisha habari yao sasa hivi wamebakiza matusi. Sasa waswahili wanasema dawa ya moto ni moto, anapojibu tusi, nikumuongezea hili wakasimulie Kremlin kwa Bwana wao Putin
 
Yaani kwasiku mtu mmoja anaanzisha thead zaidi ya tano kuhusu Putin
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…