Kaka nimepitia report yako lakini sura ya tatu inasema wazi kuwa asali zote zimeonekana na nicotin,naomba ninukuu maneno haya "Majibu hayo yaliweka wazi kwamba sampuli zote za asali kutoka maeneo yanayolimwa tumbaku na yale yasiyolimwa tumbaku zina nikotini," ikiwa utafiti huu ni sahihi basi asali zote hazitosalimika jambo ambalo si kweli kwani hata hao waliotufunza maswala ya utafiti huko Ulaya nk hawajawahi kutoa report ya ubaya wa asali ila wameisifia ni bora kiafya.