Rufiji usihangaike bure!. Hujajua tu kuwa kuna watu aina ya 'Koba' wanaopiga kelele za kufungua mipaka ili wawe huru zaidi? Kuna watu wanataka kutumia mwanya huu kuwa huru zaidi. Yaani kuna watanzania ambao asili yao ni nchi jirani na tukifungua mipaka itawasaidia sana...Au hujui kuwa kuna warundi, waganda, wanyarwanda n.k ambao ni watanzania lakini fikra zao ziko kwenye nchi za asili zao? Kuna baadhi ya wanyarwanda walizikimbia kazi zao Tanzania baada ya kuwepo serikali mpya Rwanda....Kama wakenya walivyokwapua mali za iliyokuwa East African Community baada ya kuvunjika mwaka 1977!!!
...tangu lini kuwa huru ni kitu kibaya,mabwege kama wewe na Rufiji ndio maana hatuendelei!