TEAM 666
JF-Expert Member
- Dec 7, 2017
- 4,330
- 8,421
Habari wana JF
Hiii sio sawa TRA yani ushuru wa hii gari milion 55 sawa na nusu bei ya hii gari uko Japan kama kijana umejichanga uchukue hii ndinga Land cruser prado milion 97 Japan lakini ukija Bongo Unailipia tena milion 55 kama ushuruu
Hii inawapelekea kama serkalii kukosa kabisa haya mapato kwanini msipunguze ili kila mtanzania aweze kumilikii haya magarii? kuna ukiukwaji mkubwa Bandalini kutokana na ushuru kua mkubwa watu wanapiga pesa baada ya milioni 55 watu wanalipia milion 30 zinaingia kwenye matumbo ya watu
Punguzeni hizi kodi mnatuumiza
Hiii sio sawa TRA yani ushuru wa hii gari milion 55 sawa na nusu bei ya hii gari uko Japan kama kijana umejichanga uchukue hii ndinga Land cruser prado milion 97 Japan lakini ukija Bongo Unailipia tena milion 55 kama ushuruu
Hii inawapelekea kama serkalii kukosa kabisa haya mapato kwanini msipunguze ili kila mtanzania aweze kumilikii haya magarii? kuna ukiukwaji mkubwa Bandalini kutokana na ushuru kua mkubwa watu wanapiga pesa baada ya milioni 55 watu wanalipia milion 30 zinaingia kwenye matumbo ya watu
Punguzeni hizi kodi mnatuumiza