Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,897
- 67,394
Mimi sijaongelea uko mimi nasemea shobo shobo zipungue kidogoUchawa kama wa kina Mwijaku unadevelop kuwa ushoga.
Ndio ivyo mkuumbona ghafla sana
😂😂😂 mimi sijataja mtu
Ukiweka thread acha wachangiaji wachangie wanavyojisikia, usipangie watu waandike nini.Mimi sijaongelea uko mimi nasemea shobo shobo zipungue kidogo
Shida yako wewe ni msukuma sio kosa lako 😂😂😂 mpka mwendo kasi uje mwaza ndio utaelewaEbu alie elewa tafadhali...🤔
Ahahahah tupe jina la kuwaita bas mkuu 😂Mtu hajawahi kuwa hata kaka / dada mkuu shuleya msingi, cha ajabu anaitwa mkuu na wazee JF.
Ungewatag hao machawa tuwajueHellw africa
Sikuiz jf kila mtu anachawa wake wengine mnaboa sana yaana uchawa promax kias kwamba unashindwa jishikilia shobo mda mwingine sio mzuri ndugu zangu punguzeni uchawa yaani uchawa mpaka mtu unae mfanyia uchawa anachukia anakuona mswahili ana amua aku ignore kidogo
Wewe kama sio chawa wa mtu pita kule 😂Ungewatag hao machawa tuwajue
Ukiweka thread acha wachangiaji wachangie wanavyojisikia, usipangie watu waandike nini.
AahaaaaaHellw africa
Siku hizi JF kila mtu ana chawa wake wengine mnaboa sana yaana uchawa promax kiasi kwamba unashindwa jishikilia shobo mda mwingine sio mzuri ndugu zangu. Punguzeni uchawa; yaani uchawa mpaka mtu unaemfanyia uchawa anachukia anakuona mswahili ana amua aku ignore kidogo.
Una nufaika na nini?